Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

 
🤣🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha Kuna dada nafanya nae mishe,Sasa amekwama sanaaaa,,ana madeni yake ya kutosha na Kodi ya nyumba Imeisha yaani kifupi ana majanga,basi akaniambia Leo nimekutana na mchuchu kasema atanisadia matatizo ilibidi nianze kucheka!Ina maana ushamweleza majanga Yako yotee,?akasema ngoja nimpigie,walivyoanza maongezi namsikia dada anajibu hapana mi sitaki farajaaa,faraja hainisaidii Mimi,Mimi nahitaji pesa ,(in Chuga accents)...siku ya pili kaka alikuwa hapokei simu
 
Huu ujumbe ulipaswa uwe mwanzoni kabisa mwa majibu au ufunguliwe uzi wake [emoji382][emoji375][emoji374]
 
Nimeishia apo....tumejuana kupitia social media
 
Malaya tu hao wanaingia kwenye mahusiano kwa lengo la kutatua shida zao na sio mapenzi,wote ni malaya tu hao
 
Yote haya halafu bikra hana
 

mwamba sio bahili yupo sahihi unaweza kuta mwanaume yupo serious na mahusiano na mwanamke kapenda pia lkn changamoto ni vizinga na timing zake inaweza kuwa kweli ana shida lkn anaitoa muda gani, ukutane na mtu kwa mara ya kwanza then uanzishe relation baada ya siku mbili vizinga vinaanza hakuna mwanaume atakaeendelea na hayo mahusiano na akiendelea huyo ujue hakuwa na malengo mazuri lazima atamlia timing, kibaya zaidi ishazoeleka mwanamke wa vizinga vingi ni slay ndo maan moja kwa moja mwanaume anapitisha kuwa huyu ni slay
 
😂 alikuwa busy hakuacha kupokea makusudikali
 
Tusipowaambia tumwambie nani ?? Kuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…