Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam

Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini

Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe

Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Screenshot_20231031_212316_Gallery.jpg
 
Weekend nilikuwa Mbezi terminal kwenye mgahawa mmoja ghorofani pale, Bwn mmoja wa makamo aliketi na mama mmoja mwenye kadirio la age ya 40s, ni kama walikutana pale kufahamiana ili walianzishe, ila nilichokuwa namsikia yule mama akiongea ilikuwa ni kulalamika mwanzo mwisho mara hajui kodi ya nyumba atalipaje mwezi huu, mara mgongo unauma alipiga x-ray hana hela ya mazoezi, sikukuu zinakaribia hajui ataendaje nyumbani na watoto watavaa nini nk, mwenzake akiyumbisha mazungumzo kinamna yeye atajibu kidogo anarudi kulekule
🤣🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha Kuna dada nafanya nae mishe,Sasa amekwama sanaaaa,,ana madeni yake ya kutosha na Kodi ya nyumba Imeisha yaani kifupi ana majanga,basi akaniambia Leo nimekutana na mchuchu kasema atanisadia matatizo ilibidi nianze kucheka!Ina maana ushamweleza majanga Yako yotee,?akasema ngoja nimpigie,walivyoanza maongezi namsikia dada anajibu hapana mi sitaki farajaaa,faraja hainisaidii Mimi,Mimi nahitaji pesa ,(in Chuga accents)...siku ya pili kaka alikuwa hapokei simu
 
UKIANZA KU-DATE NA SLAY QUEEN WA KIBONGO BASI TARAJIA HAYA:

1. BIRTHDAY LOADING....

2. SIMU IMEPASUKA KIOO...

3. WEEK HII NATAKA NIKASUKE NYWELE...

4. KODI INAISHA MWEZI UJAO.....

5. ZAMU YANGU KULIPIA UMEME NA MAJI KESHOKUTWA....

6. NATAKA NIKABADILISHE KUCHA....

7. MDOGO WANGU KAISHIWA NA ADA ANATAKIWA ARUDI CHUO...

8. KUNA KIJORA/DERA/ GAUNI JIPYA NIMELIPENDA PALE SOKONI....

9. BANDO LANGU LA WIKI LIMEISHA, NIUNGE LA MWEZI....

10. REJESHO LA KIKOBA (MCHEZO) ZAMU YANGU.....

........ETC ETC
Huu ujumbe ulipaswa uwe mwanzoni kabisa mwa majibu au ufunguliwe uzi wake [emoji382][emoji375][emoji374]
 
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam

Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini

Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe

Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Nimeishia apo....tumejuana kupitia social media
 
Weekend nilikuwa Mbezi terminal kwenye mgahawa mmoja ghorofani pale, Bwn mmoja wa makamo aliketi na mama mmoja mwenye kadirio la age ya 40s, ni kama walikutana pale kufahamiana ili walianzishe, ila nilichokuwa namsikia yule mama akiongea ilikuwa ni kulalamika mwanzo mwisho mara hajui kodi ya nyumba atalipaje mwezi huu, mara mgongo unauma alipiga x-ray hana hela ya mazoezi, sikukuu zinakaribia hajui ataendaje nyumbani na watoto watavaa nini nk, mwenzake akiyumbisha mazungumzo kinamna yeye atajibu kidogo anarudi kulekule
Malaya tu hao wanaingia kwenye mahusiano kwa lengo la kutatua shida zao na sio mapenzi,wote ni malaya tu hao
 
UKIANZA KU-DATE NA SLAY QUEEN WA KIBONGO BASI TARAJIA HAYA:

1. BIRTHDAY LOADING....

2. SIMU IMEPASUKA KIOO...

3. WEEK HII NATAKA NIKASUKE NYWELE...

4. KODI INAISHA MWEZI UJAO.....

5. ZAMU YANGU KULIPIA UMEME NA MAJI KESHOKUTWA....

6. NATAKA NIKABADILISHE KUCHA....

7. MDOGO WANGU KAISHIWA NA ADA ANATAKIWA ARUDI CHUO...

8. KUNA KIJORA/DERA/ GAUNI JIPYA NIMELIPENDA PALE SOKONI....

9. BANDO LANGU LA WIKI LIMEISHA, NIUNGE LA MWEZI....

10. REJESHO LA KIKOBA (MCHEZO) ZAMU YANGU.....

........ETC ETC
Yote haya halafu bikra hana
 
Nyota njema huonekana asubuhi,yaani kama unaona burden mwanzoni yakumsaidia mwanamke au kufanya majukum yako kama mwanaume ndo kwenye hiyo ndoa utaweza?,wacha maneno yako we huna hela tafuta sana la sivyo utaacha sana wanawake kwa ubahili wako..Najua wabahili wenzio watatokwa povu mno.

mwamba sio bahili yupo sahihi unaweza kuta mwanaume yupo serious na mahusiano na mwanamke kapenda pia lkn changamoto ni vizinga na timing zake inaweza kuwa kweli ana shida lkn anaitoa muda gani, ukutane na mtu kwa mara ya kwanza then uanzishe relation baada ya siku mbili vizinga vinaanza hakuna mwanaume atakaeendelea na hayo mahusiano na akiendelea huyo ujue hakuwa na malengo mazuri lazima atamlia timing, kibaya zaidi ishazoeleka mwanamke wa vizinga vingi ni slay ndo maan moja kwa moja mwanaume anapitisha kuwa huyu ni slay
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha Kuna dada nafanya nae mishe,Sasa amekwama sanaaaa,,ana madeni yake ya kutosha na Kodi ya nyumba Imeisha yaani kifupi ana majanga,basi akaniambia Leo nimekutana na mchuchu kasema atanisadia matatizo ilibidi nianze kucheka!Ina maana ushamweleza majanga Yako yotee,?akasema ngoja nimpigie,walivyoanza maongezi namsikia dada anajibu hapana mi sitaki farajaaa,faraja hainisaidii Mimi,Mimi nahitaji pesa ,(in Chuga accents)...siku ya pili kaka alikuwa hapokei simu
😂 alikuwa busy hakuacha kupokea makusudikali
 
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam

Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini

Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe

Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Tusipowaambia tumwambie nani ?? Kuwa serious
 
Back
Top Bottom