Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uhalisia bado upo Sana tuKama umelelewa kwa tamaduni hizo naamini bado zitakua kwenye damu japo zinaweza fifishwa na mazingira uliyopo sasa ila haiondoi uhalisia.
KabisaTupooo, pesa zinatafutwa tuu ili mradi awe na mipango inayotekelezeka lakini, siyo ya kufikirika[emoji3] [emoji3]
Si kweliTusidanganyane. Siku hizi "no money no honey" Nani akuite "honey" kama huna pesa? Kama nyie wasichana mnasema kamuangalii pesa mbona mnataka harusi zenu ziwe za gharama ambayo ingetosha kiwanja na nyumba ya room mbili?
Tupo huku cha msingi bidii ya utafutaji na malengo mazuri. Hakunaga maisha mazuri au utajiri unaoshushwa toka mbinguni. Unachokitafuta ndicho utakachobarikiwa nacho.Lugha ya pichaView attachment 1141524
Wapo kama unavyosema ila kukutana nae ni kazi sanaTupooo, pesa zinatafutwa tuu ili mradi awe na mipango inayotekelezeka lakini, siyo ya kufikirika[emoji3] [emoji3]
Kuna wanaokutana nao mkuu, omba ukutane naye[emoji120]Wapo kama unavyosema ila kukutana nae ni kazi sana
Tupo tupoLugha ya pichaView attachment 1141524
Hakuna kama wapo mimi nawahitaji naomba wanitafute kwa namba 0784615578Lugha ya pichaView attachment 1141524
heheh tupo Ila tushawahiwa😃Lugha ya pichaView attachment 1141524