ANNASTACIA
Member
- Nov 16, 2010
- 26
- 1
Pauline pole,ulchosema ni kweli,lakini inategemea hata na maeneo mnayoish,hzi nyumba ze2 za uswazi huku jikoni kuna wamama kibao maneno ya taarabu yamewajaa vnywani how can i enter there nipike?nadhani kwa kaz za ndani ntamsaidia,au hata kumpelekea maji bafuni,kumshka mtoto,pia kumwonyesha hali ya kujali,ila kama 2naish kwenye nyumba ye2 au yenye mazngra mazuri indpendnt kitchen unamsaidia kupika,kufua na mengneyo.....ila sasa wanawake wengne kwa akil zao bu2 ukimsaidia 2 ndo inakua tabu,