Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Changamsha akili mama Acha slopeAhsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamsha akili mama Acha slopeAhsante
Ndiyo Nini?Changamsha akili mama Acha slope
Asilimia 90 ya mabinti wa Kiafrika wanajiuza either direct or indirect.Kumezuka tatizo kubwa la wanawake wa kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii.
Pamoja na kwamba wanawake wamepewa ubongo lakini ni wachache sana wenye uwezo wa kuutumia. Wengi wao kuanzia asububi mpaka jioni wanatumia ubongo wao kuwaza HIPS, na Nywele.
Siku zinazidi kwenda wakisubiria kuolewa alafu hawaolewi sasa wanajifia maskini kwa kusubilia wanunuliwe simu, wapewe pesa za bure, na kujengewa nyumba. Ni aibu sana kwa Tanzania
Ni tatizo kubwa sana, hili na linatokana na malezi mabovu ya watoto wa kike kumzoeza kutegemea wanaume badala ya kujitegemea mwenyewe. Hiyo inamfanya mwanamke ajione hawezi kufanya chochote cha kuzalisha pesa zaidi ya kuolewa na mwanamme ili amtunze asipo olewa ndio hivyo anaanza kufanya biashara ya kujiuza.
Lea mtoto wako wakike mfundishe kufanya kazi mbalimbali kwaajili ya maisha yake ya baadaye.
Mwanamke akitumia akili zake vizuri ndio mwenye uwezo wa kuibadirisha jamii. Asilimia kubwa ya wasomi Tanzania wasomeshwa na wanawake.
Wale mnaojiuza acheni biashara haramu ya kujiuza, kukaa uchi, kuchuna, pesa. Tafuteni pesa kihalali wanawake wakiamua, akili zao zinauwezo mkubwa mnoo.
Waacheni wanaume wakanunue tena zishuke bei kutoka buku 4 hata bukuTukianza kwa kiwafundisha watoto wetu madhara ya kununua huduma hiyo itafaa zaidi.
Vijana wengi wakiwemo watu wazima wapo addicted na hii kitu.
Asee[emoji3]Waacheni wanaume wakanunue tena zishuke bei kutoka buku 4 hata buku
la sivyo ubakaji na kuambukizwa Ukimwi hakutakoma
sasa mtu anafungwa maika 30 wakati hucuma mpaka za mkopo km kwa mama ntilie zipo? hiyo biashara iwe huria kabisa sawasawa na Bhange lilivyokubaliwa kuwa ni Tiba
Nipe namba zao niwapigie kuwakanya mkuu!Kumezuka tatizo kubwa la wanawake wa kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii.
Pamoja na kwamba wanawake wamepewa ubongo lakini ni wachache sana wenye uwezo wa kuutumia. Wengi wao kuanzia asububi mpaka jioni wanatumia ubongo wao kuwaza HIPS, na Nywele.
Siku zinazidi kwenda wakisubiria kuolewa alafu hawaolewi sasa wanajifia maskini kwa kusubilia wanunuliwe simu, wapewe pesa za bure, na kujengewa nyumba. Ni aibu sana kwa Tanzania
Ni tatizo kubwa sana, hili na linatokana na malezi mabovu ya watoto wa kike kumzoeza kutegemea wanaume badala ya kujitegemea mwenyewe. Hiyo inamfanya mwanamke ajione hawezi kufanya chochote cha kuzalisha pesa zaidi ya kuolewa na mwanamme ili amtunze asipo olewa ndio hivyo anaanza kufanya biashara ya kujiuza.
Lea mtoto wako wakike mfundishe kufanya kazi mbalimbali kwaajili ya maisha yake ya baadaye.
Mwanamke akitumia akili zake vizuri ndio mwenye uwezo wa kuibadirisha jamii. Asilimia kubwa ya wasomi Tanzania wasomeshwa na wanawake.
Wale mnaojiuza acheni biashara haramu ya kujiuza, kukaa uchi, kuchuna, pesa. Tafuteni pesa kihalali wanawake wakiamua, akili zao zinauwezo mkubwa mnoo.
Siku zote makosa ya wanaume katika jamii wahanga wake ni wanawake. Wanaume wakitimiza majukumu yao hakuna mwanamke atakaeingia barabarani kusubiri wanaume wamtindue apate pesa.Ahsante