Wanawake kujiuza kwenye mitandao ya kijamii

Hizo biashara haramu ndio zilizowasomesha hiyo asilimia uliyoitaja,

Halafu kwani mwanamke anajiuza kwa nani? Kwann usiongee na wanaonunua?

Mwisho kabisa, angalia familia yako ya wengine achana nayo.
 
Asilimia 90 ya mabinti wa Kiafrika wanajiuza either direct or indirect.
 
Tukianza kwa kiwafundisha watoto wetu madhara ya kununua huduma hiyo itafaa zaidi.

Vijana wengi wakiwemo watu wazima wapo addicted na hii kitu.
Waacheni wanaume wakanunue tena zishuke bei kutoka buku 4 hata buku
la sivyo ubakaji na kuambukizwa Ukimwi hakutakoma
sasa mtu anafungwa maika 30 wakati hucuma mpaka za mkopo km kwa mama ntilie zipo? hiyo biashara iwe huria kabisa sawasawa na Bhange lilivyokubaliwa kuwa ni Tiba
 
Asee[emoji3]

Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app
 
Nipe namba zao niwapigie kuwakanya mkuu!
 
Siku zote makosa ya wanaume katika jamii wahanga wake ni wanawake. Wanaume wakitimiza majukumu yao hakuna mwanamke atakaeingia barabarani kusubiri wanaume wamtindue apate pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…