Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Jamani ๐๐๐๐๐Hilo muhimu, ila wameshapata tatizo. Hapo ndipo mtindi unapoelezwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ๐๐๐๐๐Hilo muhimu, ila wameshapata tatizo. Hapo ndipo mtindi unapoelezwa...
Yaani unajiuliza hawa wengine haruf inatok wapiZipo Aisee...unakae nae masaa kwenye mizunguko na mkiingia kwenye mambo hayo iko vizuri tu..
Duh pole sanaTrichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
Mwambie asisahau kupaka na upupu kwa mbali unaondoa ile harufu ya kisamakiUsisahau kuleta mrejesho
Mabinti wengi wanatema kisamaki yaan sebleni hakuna mtu Ila ukikatisha tu unagundua hapa kuna mtu mwenye kisamaki alikua amekaa ukipita kwenye korda unasikia kisamaki unajua tu hapa mwenye kisamaki kapitaTrichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
Kisamakinilisikia harufu ya
Nakazia jiraniZipo Aisee...unakae nae masaa kwenye mizunguko na mkiingia kwenye mambo hayo iko vizuri tu..
๐ ๐ ๐ kwaiyo nawe tuseme ndio unawaambia wana visato eehKwahiyo wewe umewanusa wote? ๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante kwa ushauri, je ni kila siku kwa muda gani ntaanza kuona matokeo ya harufu nzuri?
We Mtoto!!!Kwani una harufu mbaya ?
Halafu hebu muulize mleta mada...Mtindi huponya fungus pia
Daaadeki, Na utafiti wenyewe utakomea hapo hapo๐Mwambie asisahau kupaka na upupu kwa mbali unaondoa ile harufu ya kisamaki
Ushawahi kuinusa ukaiona inanuka ilikuaje ukaifikia ukainusa?Maana kuna Wanaume nao huwa wananuka jamaniJasho si jasho....Boksa siyo Boksa...Harufu haileweki...![]()
Hapo wewe inabidi uchange standardHalafu hebu muulize mleta mada...
Why Wanawake ndiyo wanywe..Wanaume haiwahusu...
Maana kuna Wanaume nao huwa wananuka jamani[emoji17]Jasho si jasho....Boksa siyo Boksa...Harufu haileweki...
Na wenyewe wanapaswa kutumia nini.
Mtindi pia,unasaidia wanaume kuondokewa na jasho la kwapa na kunuka kibeberu beberuHalafu hebu muulize mleta mada...
Why Wanawake ndiyo wanywe..Wanaume haiwahusu...
Maana kuna Wanaume nao huwa wananuka jamani[emoji17]Jasho si jasho....Boksa siyo Boksa...Harufu haileweki...
Na wenyewe wanapaswa kutumia nini.