Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

Trichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
 
Trichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
Duh pole sana
 
Trichomoniasis huu ugonjwa unachanganywa sana na UTI, utakuta harufu haiishi ,Ukikojoa unaumia unafikiri una fungus au UTI kumbe umeambukizwa huo, haujulikan sana huu, ukienda Phamarcy ukimwambia symptoms unapewa dawa kutibu UTI
Mabinti wengi wanatema kisamaki yaan sebleni hakuna mtu Ila ukikatisha tu unagundua hapa kuna mtu mwenye kisamaki alikua amekaa ukipita kwenye korda unasikia kisamaki unajua tu hapa mwenye kisamaki kapita

Kisamaki..!
 
Amini nakwambia utakuta sasa hivi wanapambana kunywa huo mtindi kutokana na hali zao kuwa mbayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna mdada mrembo nilikuwa na muheshimu sana, siku nimekaa kwenye benchi akawa kasimama mbele yangu niko usawa wa kiuono chake,
amini nawaambia nilisikia harufu ya pussy, hapo imefunikwa na ni asubuhi 😳
 
Halafu hebu muulize mleta mada...
Why Wanawake ndiyo wanywe..Wanaume haiwahusu...

Maana kuna Wanaume nao huwa wananuka jamani[emoji17]Jasho si jasho....Boksa siyo Boksa...Harufu haileweki...

Na wenyewe wanapaswa kutumia nini.
Mtindi pia,unasaidia wanaume kuondokewa na jasho la kwapa na kunuka kibeberu beberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…