Testosterone ndo inaregulate mtu kuwa mwanaume mf masculinization, upara, ndevu, sauti etc. The vice versa unakuwa mwanamke. Any imbalance kwenye hiyo hormone mtu anakuwa na vitu visivyo vya jinsia yake. Mf semenya alikuwa na ectopic production ya testosterone kutoka ndani ya via vya uzazi ndo mana akawa vile. Walichomfanyia ni kusupress production yake ndo maana siku hizi anaonekana yuko feminized. Mabadiliko ya kimazingira, genetics, dawa, magonjwa huchangia kuwa na low au high levels za hiyo hormone.