Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Mbona wengine hawajipodoi na wanna ndevu,ni vyakula tu na hormone
 
Haya, paka mkorogo basi uje na majibu.

Mkuu acha kupotosha. Kama unapenda kujisomea tumia hata mtandao kusoma endocrine system uone jinsi gani homoni zinafanya kazi kwenye mwili wa binadamu. Mambo ya mkorogo weka pembeni hayo. Ndevu ni effects za homoni mwilini nothing else.
 
Kwa hiyo serikali ianze kusambaza vinyoleo kama neti za hati punguzo?
 
Mkuu acha kupotosha. Kama unapenda kujisomea tumia hata mtandao kusoma endocrine system uone jinsi gani homoni zinafanya kazi kwenye mwili wa binadamu. Mambo ya mkorogo weka pembeni hayo. Ndevu ni effects za homoni mwilini nothing else.

Sure thing mkuu! Mie na mkorogo mbalimbali hata nywele ni za asili lakini nina ndevu japo si kihivyo so nakubaliana na wewe
 
acheni uswahili, is that a national disaster?

mjipodoe wenyewe huko kwa mapodozi feki kutoka china, mkuze makalio huko weeee halafu mtwambie janga la kitaifa!

What a ffffffffffffffffffffffffffffine day! lol

Duh! Umemalizia vizuri mkuu! What a fffffffffffffffffffffine day!
 
KUOTA NDEVU AU NYWELE KWA MWANAKE, KWENYE SEHEMU AMBOZO SIO ZA KAWAIDA KWA JINSIA YA KIKE, HUJULIKANA ZAIDI KWA MAJINA MAWILI

[1] HIRSUTISM AND
[2] HYPERTRICHOSIS

HIRSUTISM is defined as the excessive growth of thick dark hair in locations where hair growth in women usually is minimal or absent or is the growth of terminal hair in female which is distributed in pattern normally seen in male. Such male-pattern growth of terminal body hair usually occurs in androgen-stimulated locations, such as the face, chest, and areolae. [Dark ring around a nipple]

HYPERTRICHOSIS;
Is an excessive growth of terminal hair that does not follow an androgen pattern,kwenye paji la uso,mikono n.k. Although the terms hirsutism and hypertrichosis often are used interchangeably, hypertrichosis actually refers to excess hair (terminal or vellus) in areas that are not predominantly androgen dependent.

Whether a patient is hirsute often is difficult to judge because hair growth varies among individual women and across ethnic groups. What is considered hirsutism in one culture may be considered typical in another. For example, women from the Mediterranean and the Indian subcontinent have more facial and body hair than do women from East Asia, sub-Saharan Africa, and northern Europe. Dark-haired, darkly pigmented individuals of either sex tend to be more hirsute than blond or fair-skinned persons.

A woman with hirsutism has excess terminal hair in a masculine pattern, but note that hirsutism may be difficult to evaluate in women who have blond hair In most cases, hirsutism is a benign condition and is primarily of cosmetic concern. However, when hirsutism is accompanied by masculinizing signs or symptoms, particularly when these arise well after puberty, hirsutism may be a manifestation of a more serious underlying disorder such as an ovarian or adrenal neoplasm. Fortunately, these disorders are rare.

Causes:

Hormones;
Androgen levels disorders of ovary is one of the causes of Polycystic ovary syndrome (PCOS) . [cyst;- a closed bladder like sack formed in animal tissues ,containing fluid or semi fluid matter] PCOS is a disorder which causes of hirsutism; (PCOS) is one of the most common female endocrine disorders affecting approximately 5%-10% of women of reproductive age (12-45 years old) and is thought to be one of the leading causes of female infertility.

[ii] Familial hirsutism
Familial hirsutism is not associated with androgen excess. Familial hirsutism is both typical and natural in certain populations, such as in some women of Mediterranean or Middle Eastern ancestry.

[iii]Drug-induced hirsutism;
Which results from the treatment of gynecological disorders such as endometriosis danazol which was popular in 1970s, Anabolic steroids; Which are commonly used for muscle-building. Currently used oral contraceptives are likely to cause Hirsutism if used in high or inappropriate dosage.

Siku hizi wanawake wengi wanaota ndevu ukilinganisha na miaka ya nyuma! Hii inasababishwa na nini?

OBVIOUS kwetu ni suala la

[1]HORMONE MARADHI KWA KINA MAMA ,KAMA UTAONA MANAMKE ANAOTA NDEVU GHAFLA ,ZIKIAMBATANA NA CHUNUSI NA HUKU KUKIWA NA MABADILIKO YA SAUTI KUTOKA YA KIKE KWENDA YA KIUME [Age 12-45 ] , BASI MSHAURI AKAPIME HORMONIES ,PIA APIGE NA ULTRA SOUND HIZO NI DALILI ZA PCOS .

[2] VIDONGE VYA MAJIRA AMBAVYO VINAUZWA KAMA NJUGU ,UTAKUTA MSICHANA MDOGO ANAIGIA FAMASI NA KUSEMA,NAOMBA MAJIRA MBILI NA ANAPATIWA BILA TAABU WALA MAELEZO.

[3] INDIRECT HORMONE USAGE ,KUTOKA KWENYE VYAKULA.


Hapo umetuacha wengi
 
1.Dawa za majira 2. Minyama ya kisasa 3. some vipodozi 4. Dawa za matibabu bazo haziepukiki japokowa zaweza kuwa zimesababishwa na above reason. Kwa kuelewa wangu
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari na kujiuliza, hivi kwanini wanawake hawapati vipara kama wanaume, au ni kuwa mimi ndo sijaona ila wapo?
Je ni nini kinasababisha kutokewa na kipara?
Je kuna namana yeyote ya kudhibiti mtu usipate kipara?
Je ukishatokewa na kipara kuna njia za kurudisha nywele?, ni zipi?
Je upara ni ishara ya nini?

Tafadhali, tusaidiane kujibu hayo, nimekwama.
 
Tyta eti ni kweli wanawake wenye viwalaza hawapo ?
 
Last edited by a moderator:
Tyta eti ni kweli wanawake wenye viwalaza hawapo ?

hair_loss.gif
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari na kujiuliza, hivi kwanini wanawake hawapati vipara kama wanaume, au ni kuwa mimi ndo sijaona ila wapo?
Je ni nini kinasababisha kutokewa na kipara?

Tafadhali, tusaidiane kujibu hayo, nimekwama.

Biology kidogo ya pre-BRN niliyosoma ilinifahamisha kuwa kipara ni genetic trait. Hurithishwa kutokana na genes. Sasa kuna baadhi ya traits ambazo ni sex-linked yaani hujitokeza kwa watu wa jinsia moja zaidi ambayo sadly ni wanaume. Hii ni kwa kuwa genes za hiyo trait zinabebwa na X-chromosome na wanaume tuna X moja tu ilhali wanawake wana mbili. Kwahiyo X-chromosome yako kutoka kwa mama yako ikishakuwa na hii gene unakuwa affected na hiyo trait, wakati kwa wanawake wakiirithi kutoka kwa baba au mama zao wanakuwa carriers (wanaibeba hiyo charactersistic ndani ya DNA ila haionekani. Itaonekana pale tu ambapo baba alikuwa affected na mama alikua carrier, ndio maana ni wachache).

Kipara ni mojawapo ya hizo traits. Nyingine ni kama colour-blindness ambayo hutokea kwa wanaume zaidi na haemophilia (damu kutokuacha kutoka mwilini pale kinapotokea kidonda)
 
know-if-you-have-male-pattern-baldness.png


Ingawa upara si kawaida sana katika wanawake kama ilivyo kwa wanaume, athari za kisaikolojia za kupoteza nywele huwa kubwa zaidi. Kwa kawaida ukanda wa nywele za mbele hudumu ilhali uwingi wa nywele hupungua katika maeneo yote kichwani.

Hapo awali iliaminika kuwa ilisababishwa na testosteroni sawa na katika upara wa kiume, lakini wanawake wengi ambao kupoteza nywele huwa na viwango vya kawaida vya testosteroni .

Hata hivyo, upotezaji nywele kwa mwanamke umekuwa tatizo linaloendelea, ambalo kwa mujibu wa Akademia ya Marekani ya Matibabu ya ngozi, huathiri karibu wanawake 30,000,000nchini Marekani.

Ingawa upotezaji nywele kwa wanawake kwa kawaida hutokea baada ya umri wa miaka 50 au hata baadaye, isipoambatana na matukio kama ujauzito, maradhi sugu, ya mlo, na mfadhaiko kati ya nyinginezo, kwa sasa inatokea miaka ya mapema na huku ripoti zikionyesha kuwa hutokea hata wanawake wachanga kama wa miaka 15 au 16.

Sababu za upotevu wa nywele mingoni mwa wanawake zinaweza kutofautiana na zinazoathiri wanaume. Kuhusiana na alopeshia androjeni, upotevu wa nywele za wanawake hutokea kulingana na athari za homoni za androjeni (testosteroni, androsteinedioni, na dihaidrotestosteroni (DHT)).

Homoni hizi za kiume, kwa kawaida hutokea kwa kiasi kidogo kwa wanawake. Hata hivyo, kulingana na Ted Daly, MD, tabibu wa ngozi kutoka Kituo cha Matibabu cha Chuo Kikuu cha Long Island, alopeshia androjeni sio sababu kuu ya kupotea kwa nywele kwa wanawake na wataalamu wa ngozi kwa sasa hupendelea kuita hali hii mkondo wa upotevu wa nywele.

Kwa wanawake badala ya kutumia neno androjeni alopeshia. Anaongeza kuwa mkondo wa kike ni wa mtawanyiko na hudhihirika katika eneo lote la juu ya kichwa na waweza kuathiri wanawake wakati wowote.

Wakati mwingine pia mchakato wa homoni huweza kusababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke. Baadhi ya mifano ni: uja uzito, kufikia kutoweza kuzaa, uwepo wa uvimbe wa ovari, dawa za kudhibiti upataji mimba na kiwango juu cha androjeni , dalili za vimbe nyingi za ovari.

Pia matatizo ya tezi , anemia, ugonjwa sugu na baadhi ya dawa husababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke

Dawa utaweza kwenda London kwenye clinic Harley Street Hair Clinic aliyotibiwa Rooney.


Credit: Katulanda
 
Hahahaaa hlo mbna ttzo dgo sna mwambie limeisha bdo kumalzika tyu mm dawa hyo naijua
 
Nenda kamuone daktari tu, tatizo hili kwa wanawake linaweza sababishwa na sababu zaidi ya kumi, sasa kujua ipi hasa inasababisha ya kwako ili itibiwe effectively ni mziki, bora ukamuone doctor tu achukue details zako zote, upimwe... Kama ukikosa kabisa solution then tafuta sehemu wanayofanya laser hair removal, kwa dar utapata ila mikoani sidhani, hii najua itakua ghali kidogo, ila inaondoa ndevu hazirudi tena, ni njia hata wanaume hua wanatumia.
 
Back
Top Bottom