Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Uzi unafurahisha kweli huu.

Ukisoma comments za wanawake karibu wote waliochangia kwenye huu Uzi wanasema eti wanaume weupe hawawavutii kabisa, wakati huo ukienda kule LOVE CONNECT karibia kila mdada anaetafuta mume kigezo kimoja kimoja wapo anataka mwanaume awe mweupe.

Hivi wanawake kuna siku mtafahamu mnachokitaka eti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na irene uwoya anasema anapendelea wanaume wenye Sura mbaya.

Hivi huyu mzima kweli.?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na irene uwoya anasema anapendelea wanaume wenye Sura mbaya.

Hivi huyu mzima kweli.?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
tena wenye makovu na ngeu kabisa!
 
Wanaume weupe bwana!!! Wala siwaangaliagi mara mbili mie!!!

Daaah... Yaani mpaka wewe jamani una allergy na rangi nyeupe?

Haya sasa nimeghairi na kukuletea mbege wikeend hii maana umeshasema hutaniangalia mara mbili.
 
Daaah... Yaani mpaka wewe jamani una allergy na rangi nyeupe?

Haya sasa nimeghairi na kukuletea mbege wikeend hii maana umeshasema hutaniangalia mara mbili.
Jamaani
Lakinii wewe sio mweupe bwana... We nletee tuu lita tatu yatosha!!! Ujue nachangia tu mada mie
 
Wewe unazuga tu hapa!

Sijambo kabisa swaiba, mzima?
Lazima nizuge bwana... Sasa ukute Mungu kaniandalia kitu cheupe Naaanzaje kuremba!!!!!

Mie Sijambo swahiba.... Nani alikuficha jamani??!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na irene uwoya anasema anapendelea wanaume wenye Sura mbaya.

Hivi huyu mzima kweli.?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Yule atakuwa na sababu zake ambazo ni minor sana, pengine labda aliwahi kikutana na njemba yenye sura mbaya ika mkaza haswa basi tangu siku hiyo anajiaminisha dume lenye sura mbaya ni limtu la kazi.
 
Duuh boy umetumia nguvu njingi sana kutujengea taswira ya wajihi wako. By the way umefanikiwa
Ma handsome je? Maana kuna wadada washawah kunambia hawanipendi na hawataki uhusiano sababu mm ni handsome! Nikashindwa kuwaelewa had leo
 
Jamaani
Lakinii wewe sio mweupe bwana... We nletee tuu lita tatu yatosha!!! Ujue nachangia tu mada mie

Hahaha.... mimi mweupe wewe yaani ni mweupe kama mavi ya dengu tena siku hizi jua kali limenichakaza.

Hapana mbege sikuletei si umesema utaki kuniangalia mara mbili itabidi sasa uifuate mwenyewe tena uje na mrija wako au bomba la papai!
 
Lazima nizuge bwana... Sasa ukute Mungu kaniandalia kitu cheupe Naaanzaje kuremba!!!!!

Mie Sijambo swahiba.... Nani alikuficha jamani??!!!
Hama hakika mgaa gaa na ukwa hali ubwabwa mkavu, hatuwezi kuremba hata kama tayari kipo basi utakiweka pending hicho kingine.

Nilijipa ban ya wiki nzima baada ya kupewa onyo humu jukwaani, ila nimekumbuka kweli nafurahi kuskia ni buheri wa afya.
 
Hahaha.... mimi mweupe wewe yaani ni mweupe kama mavi ya dengu tena siku hizi jua kali limenichakaza.

Hapana mbege sikuletei si umesema utaki kuniangalia mara mbili itabidi sasa uifuate mwenyewe tena uje na mrija wako au bomba la papai!
Aisee
Ujue napenda wanaume weupe eeeh!!!! Yaani nawapenda kweeli... Basi tuu wamekuwa adimu, wengi wanakunywa maji saaana!!!!

Niletee hiyo mbege hebu, pakia kwenye raha Leo swahiba..
 
Hama hakika mgaa gaa na ukwa hali ubwabwa mkavu, hatuwezi kuremba hata kama tayari kipo basi utakiweka pending hicho kingine.

Nilijipa ban ya wiki nzima baada ya kupewa onyo humu jukwaani, ila nimekumbuka kweli nafurahi kuskia ni buheri wa afya.
Nani huyo alikuonya tena swahiba!!!

Tabia ya kujiteka sio nzuri.. Uwe unaniaga basi
 
Hapa kila mtu lazima asifie chake au amsifie aliyenaye. Halaf kuna kitu tusidanganyane et ooo mimi maji ya kunde, hakunaga rang inaitwa maji ya kunde sema mimi mweusi, wengne ooo et mimi urefu wangu ni wa katkat, hakuna urefu wa kat kat we ni nyundo tena isiyo na mpini.
 
Aisee
Ujue napenda wanaume weupe eeeh!!!! Yaani nawapenda kweeli... Basi tuu wamekuwa adimu, wengi wanakunywa maji saaana!!!!

Niletee hiyo mbege hebu, pakia kwenye raha Leo swahiba..

Hallelujah.... Hapo sawa kabisa wanaume weupe ni adimu sana zama hizi hee achana na hao wanaokunywa maji na kuulazimisha weupe!! Na wanajua kupenda kweli sikutanii hata uzao wao huwa ni fahari tosha.

Kuhusu mbege mpaka hapa usijari nitaiandaa tena ule unayoipenda kisha nakuja kukuchukua tuje tunywe wote hapa kwangu kwa Uhuru.
 
Si wapendi wanawake weupe, huwa naona kama dada zangu vile, ila mwanamke mweusi bhana weeee hata awe flat screen kiasi ganiiiio
 
Nani huyo alikuonya tena swahiba!!!

Tabia ya kujiteka sio nzuri.. Uwe unaniaga basi
Unajua swahiba humu kuna majukwaa ambayo ban ni kugusa tu, na kama una bahati unapewa onyo!!

Ilibidi nikae kando kidogo ila wanisahau, itabidi sasa hivi nitulie huku tu ambako hakuna vurugu kabisa kama majukwaa mengine! Niwe nakutembelea mara kwa mara
 
Back
Top Bottom