madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
wanawake huwa wanasema white men wanatoaga viharufu fulani, mfano hata Jacquiline wolper japo ni wa kike
Say whaaat?[emoji123]
Usiamini mwanamke...wanawake huwa wanasema white men wanatoaga viharufu fulani, mfano hata Jacquiline wolper japo ni wa kike
Ha ha hamnajikutaga keki, mna maringo ya kike
Hawapo Wameenda kupaka karolaiti.Hebu ma black wotee mikono juuuuu
halafu ikawaje baada ya kura??Leo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
Mna vibamiaHa ha ha
Sisi ni keki tena sio ya nchi hii.
Haya bhana. Kama Rangi inaamua size.Mna vibamia
Mbona hamkuniambiaahalafu ikawaje baada ya kura??
Sisi mablack tuko juumnajikutaga keki, mna maringo ya kike
afu umekula chuma ..body imejaa..aatariii xaannaaaUnakua black, mrefu, kisha unatupia kasuti slim fit keusi, hatari sana.
HahahaMna vibamia
Manigga wengi wanaume mashine