Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Me toka nilijue hilo nipo bize natafuta hela,

Wanasema UTAPOTEZA MUDA MWINGI SANA UKIJARIBU KUMUELEWA MWANAMKE, YAELEWE MAFANIKIO WANAWAKE WATAKUELEWA WENYEWE
 
ff4ad58fdeff90628bd67c3ecf198868.jpg

Say whaaat?[emoji123]
wanawake huwa wanasema white men wanatoaga viharufu fulani, mfano hata Jacquiline wolper japo ni wa kike
 
wanawake huwa wanasema white men wanatoaga viharufu fulani, mfano hata Jacquiline wolper japo ni wa kike
Usiamini mwanamke...
Hata ukiwa na ngeu anaeza kukubali hivyohivyo.

Hawanaga choice. Ni kujiamini kwako tu.
 
Leo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
halafu ikawaje baada ya kura??
 
Mnalinga sana niggha
Niko na mabro zangu mifano tosha
Wanaznguag san maan tayar boi anajua demu anashoboka kisa rangi
So wanaona bora siye kata nyege
 
Back
Top Bottom