uko hapo kati kati eeehBahati yangu siyo mweupe wala mweusi...!
unajua nimecheka tu mwenyewe kuona wanaume wanatafuta kupendwaWanawake weusi wanapenda wanaume weupe pia
hahaha nimekipa hadhi kidogo maana "kibamia" its too cheap.hahahahhahhaha nilikuwa natafakari kiLady finger ni nini baadae nikapta jibu
kila mtu na chaguo lake,, itx my self napenda mwanaume mweupe,, daar ,, yaan tena awe mwembamba na mrefu,,, uwiiiiiiiii nikimuona tu ,, huwa nachanganyikiwa hatariSijawahi kujua kwanini wadada wengi wanasema wanapenda wanaume weusi, wanaume weupe tuna nini?
Naomba kujuzwa nini wanacho wanaume weusi weupe hatuna.
Wewe je unapenda mwanaume yupi kipato ni ziada hakihusiani na upendounajua nimecheka tu mwenyewe kuona wanaume wanatafuta kupendwa
nawapa siri, tafuteni hela maana sidhani ukiwa na hela watakumbuka kuangalia kama ni mweupe ama mweusi
BTW mwanaume lazima ujiamini usitafute kupendwa
teh teh
hahahahahah mkuu tafadhali mbavu zanguhahaha nimekipa hadhi kidogo maana "kibamia" its too cheap.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, usiwaambie ukwel bwnAisee fanyeni kazi. Kazi haimuui mtu Bali inamjenga.
Bora uwe maskini kuliko kibamia
anayenipenda kwa dhatiWewe je unapenda mwanaume yupi kipato ni ziada hakihusiani na upendo
Vema anatakiwa mmoja tu na si kila anayekupenda kwa dhati hao wapo wengianayenipenda kwa dhati
Upo kama mm,mademu weupe siwapendi hata robo kilo.Pole Sana kwa zahma hilo mkuu, binafsi hata mimi sipendagi wanawake weupe sijui Kwanini.
I meant mmoja anayenipenda kwa dhatiVema anatakiwa mmoja tu na si kila anayekupenda kwa dhati hao wapo wengi
Kwani kawaida mademu unakuwa nao wangapi mmoja tu anatosha auUpo kama mm,mademu weupe siwapendi hata robo kilo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mnafanana na dada zenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]1. Mweupe pee
2. Mfupi ndi
3. Kibamia
hahaa lazma uhame jiji
nakuona kidume wa daaarwewe ni mweupe kama huyu mkuu!!!View attachment 611875
lipssssss[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Baby hebu twende ndani naona unaleta fujo!!