Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

wewe ni mweupe kama huyu mkuu!!!
tapatalk_1487068161076.jpeg
 
Sijawahi kujua...kwanini wadada wengi wanasema wanapenda wanaume weusi...wanaume weupe tuna mini

Naomba kujuzwa...nini wanacho wanaume weusi weupe hatuna???
Nyodo zao tu,ukishakuwa na mahela ya kutosha huwa hawaangalii rangi.Kuna dada mmoja nilikuwa ninafanya naye kazi alikuwa anachukuliwa ovyo ovyo na wanaume pale na wengi wao walikuwa ni weusi basi aliropokwa siku moja "yaani unajua mimi mwenzenu sijui kwanini sina mzuka kabisa na wanaume weupe,sijawahi kupenda na wala sitawapenda"juzi juzi namuona kapost picha Facebook na mwanaume white wamekumbatiana kaandika my one and only,nikajua kumbe zilikuwa geresha tu..
 
Sema wanaume weupe mnakatabia ka kuringa nadhani ambapo ndo mnaposhindwana na wanawake ila mnafaa sana kwa wanawake wanaopenda kuuza sura na weusi(sio wote) sababu uwaga wanaamini wakilala na mwanaume mweupe watoto watakuwa weupe...
 
Me mweupe lkn sijawai kuwa na Mwanamke mweupe Sijui kwanin
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Anzeni kutafuta vipodozi vya kuwafanya muwe weusi.
 
Sijawahi kujua...kwanini wadada wengi wanasema wanapenda wanaume weusi...wanaume weupe tuna mini

Naomba kujuzwa...nini wanacho wanaume weusi weupe hatuna???
1. Wanaume weupe [HASHTAG]#Wanaringa[/HASHTAG] sana na kujisikia kujiona wao ni keki
2. Dam zenu zimepoonza yaani mbo..oo zenu au dam haijachangamka mfano. Unywe chai ya rangi bila sukari
 
Back
Top Bottom