Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
kweli aisee, saizi zetu weusi ni XL, XXL, LTeh!uongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli aisee, saizi zetu weusi ni XL, XXL, LTeh!uongo?
Mimi sijui rangi yangu naishi tuMm napenda mweupe ugonjwa wangu miyeee
Mkuu,umeongea kitu cha maana sana,naomb kwa nzia sasa ujiite kichwa kisafiBe Gentleman.
Hayo mengine waachie wanawake wenyewe mzee.
Hahahah! Kasahau maneno yake mwenyewe.Nyodo zao tu,ukishakuwa na mahela ya kutosha huwa hawaangalii rangi.Kuna dada mmoja nilikuwa ninafanya naye kazi alikuwa anachukuliwa ovyo ovyo na wanaume pale na wengi wao walikuwa ni weusi basi aliropokwa siku moja "yaani unajua mimi mwenzenu sijui kwanini sina mzuka kabisa na wanaume weupe,sijawahi kupenda na wala sitawapenda"juzi juzi namuona kapost picha Facebook na mwanaume white wamekumbatiana kaandika my one and only,nikajua kumbe zilikuwa geresha tu..
Du afadhali umetumia lugha laini. maana mi nilitaka kusema wengi hasa wa majuu ni maelton johnMna vibamia
Manigga wengi wanaume mashine
Ofcourse, labdamjifanye hamtutaki siye macholate..uko hapo kati kati eeeh
kitu chocolate sio?
Nimesema tu , teh teh
Pia nisaidie kuwauliza na sisi wenye urefu wastani hawatutaki wanapenda warefu tu kosa letu nini?
miiiili yenu ya baridi saaana kama vyura + mashauzi kama watoto wa kike, hamna stamina uwanjani, ni mashuzi tuu kujamba ovyo2Wewe ni mweupe?
Punguza hasira mkuu pata maji kidogo kwanzamiiiili yenu ya baridi saaana kama vyura + mashauzi kama watoto wa kike, hamna stamina uwanjani, ni mashuzi tuu kujamba ovyo2
oh ok ila mambo yamebadilikaHa ha ha ni kweli inadependent na mtu uliy3 nae kama yupo after money sawa.....
mtwangio una joto kaliSie wanaume weupe ndio habari ya mujini.
![]()
Ina maana hujioni ulivyo wa kijivu?Mimi sijui rangi yangu naishi tu