Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
Kuna rafiki yangu wa karibu ameanza kuhangaikia talaka baada ya kukaa kwenye ndoa kwa miaka mitatu. Amejaaliwa maisha mazuri kiasi na mwanamke mzuri sana ambaye amepata nae watoto wawili.
Kisa cha bwana huyo kuhangaikia talaka ni mwanamke kumsaliti na mwanaume mwingine ambaye amethibitishwa kutembea na mke wa jamaa kwa miaka miwili sasa.
Rafiki yangu huyo anasema baada ya kugundua hilo mwanamke aliomba msamaha na kulia sana akaamua kumsamehe kishingo upande ili maisha yaendelee lakini anashikwa na KINYAA kila kimuona mke wake huyo hali iliyompelekea kuanza mchakato wa kuvunja ndoa hiyo, jamaa alimpenda sana mke wake na familia yake lakini uhuni wa mwanamke umeharibu ndoto yao na kuondoa furaha kabisa kwenye familia.
Wiki iliyopita alienda kuwatembelea watoto kwa mama yake na mke wake wakamkalisha kikao wajaribu kusuluhisha jamaa akasema hawezi kuishi na mwanamke kama pambo maana alishakosa hamu na huyo mwanamke, Mke wake huyo amenipigia simu mara kadhaa kuomba niongee na jamaa lakini jamaa hataki kabisa kusikia.
ANGALIZO: Wanawake na wake za watu wote huyo mwanaume aliyekuoa ndiye mwenye nia nzuri na mipango mizuri na wewe hao watu wa pembeni wanataka uchi wako tu wakutumie alafu wasikutake tena na hata hawawezi kukuoa maana wanajua wewe ni msaliti wa ndoa.
Nilikuwa nataka kuoa lakini kama nighairi kwanza
Kisa cha bwana huyo kuhangaikia talaka ni mwanamke kumsaliti na mwanaume mwingine ambaye amethibitishwa kutembea na mke wa jamaa kwa miaka miwili sasa.
Rafiki yangu huyo anasema baada ya kugundua hilo mwanamke aliomba msamaha na kulia sana akaamua kumsamehe kishingo upande ili maisha yaendelee lakini anashikwa na KINYAA kila kimuona mke wake huyo hali iliyompelekea kuanza mchakato wa kuvunja ndoa hiyo, jamaa alimpenda sana mke wake na familia yake lakini uhuni wa mwanamke umeharibu ndoto yao na kuondoa furaha kabisa kwenye familia.
Wiki iliyopita alienda kuwatembelea watoto kwa mama yake na mke wake wakamkalisha kikao wajaribu kusuluhisha jamaa akasema hawezi kuishi na mwanamke kama pambo maana alishakosa hamu na huyo mwanamke, Mke wake huyo amenipigia simu mara kadhaa kuomba niongee na jamaa lakini jamaa hataki kabisa kusikia.
ANGALIZO: Wanawake na wake za watu wote huyo mwanaume aliyekuoa ndiye mwenye nia nzuri na mipango mizuri na wewe hao watu wa pembeni wanataka uchi wako tu wakutumie alafu wasikutake tena na hata hawawezi kukuoa maana wanajua wewe ni msaliti wa ndoa.
Nilikuwa nataka kuoa lakini kama nighairi kwanza