Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
- Thread starter
- #21
Endapo kwa miaka yote miwili huyo mumewee hajawahiii fanya na mwanamke mwingine yeyote hata mara moja, basi na amwache mkewe...
ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo kwa miaka yote miwili huyo mumewee hajawahiii fanya na mwanamke mwingine yeyote hata mara moja, basi na amwache mkewe...
Aliyekwambia mwanaume ameumbwa kwa ajili ya mwanamke ni nani? mwanamke ndo kaumbwa kwa ajili ya mwanaume ndo maana ukishakubali kuolewa unamilikiwa na huyo mwanaume na wewe huna mamlaka ya kumumiliki mwanaume ndo maana anaweza kuwa na wake zaidi ya mmoja.........tatizo mkishadanganyana na kujazana ujinga na mambo ya usawa wa kijinsia mnaishia kuangukia pua kama hili linaloenda kumtokea huyu punguani mwenzenu.
mwanaume kaumbiwa wanawake wangapi ndipo atosheke!!!acheni kutafuta kichaka bana.Aliyekwambia mwanaume ameumbwa kwa ajili ya mwanamke ni nani? mwanamke ndo kaumbwa kwa ajili ya mwanaume ndo maana ukishakubali kuolewa unamilikiwa na huyo mwanaume na wewe huna mamlaka ya kumumiliki mwanaume ndo maana anaweza kuwa na wake zaidi ya mmoja.........tatizo mkishadanganyana na kujazana ujinga na mambo ya usawa wa kijinsia mnaishia kuangukia pua kama hili linaloenda kumtokea huyu punguani mwenzenu.
Mkuu ndo asili ilivyo hivyo, kwa hiyo wa ni bora watahadhari mapema kabla hayajawafika.........maana litakayemfika hilo ni la kwake, jamii itabaki kumkodolea macho tu.mwanaume kaumbiwa wanawake wangapi ndipo atosheke!!!acheni kutafuta kichaka bana.
mimi ni mwanaume,nachepuka,lengo ni kwamba siku yakinifika niwe tayari kuyachukua.
mnakula mpaka watoto wa shule,mnaacha wake zenu ndani wanajiuguza mapenzi,wakichomoka tu mnawasindikiza na kadi nyekundu,sio fare.
UPUUZI UPUUZWE. chepuka ya Mwanamke na ya Mwanaume kamwe hazifanani, Mwanamke akichepuka ,maana yake anachukua uchafu nje anauleta ndani, wakati mwanaume akichepuka ni anatoa uchafu ndani anapeleka nje.Endapo kwa miaka yote miwili huyo mumewee hajawahiii fanya na mwanamke mwingine yeyote hata mara moja, basi na amwache mke
Siku hizi wananyonywa mpaka ndg zaoHao wakishanyonywa kissme wanapagawa kabisa.
huwa mnajipa uwezo msiokua nao hakuna cha umakini hapo ni suala la mda tu mambo huwa wazi, GIza na mwanga haviwezi kukaa pamoja.wanawake wako makini sanaaa, huyo unayemwongelea aliteleza tu kidogoo
Na anavyokupigia simu si ajabu na wewe upo kwenye list yake ya atakaotembea nao baada ya msala kumalizika
anyway kila shwetani na mbuyu wakeee
.. .Bila kusahau kwamba anaweza akawa anapitishwa 'Kwa Mpalange' wakati wewe Ulikuwa Unamuheshimu kama Kito cha Thamani!Ni Mara kumi mwanamke ajaribu kuniua kuliko anisaliti.
Maan hadi unaenda panua mapaja kwa jamaa mwingine siyo bahati mbaya hiyo maana mwili wako wote umehusika kuanzia nywele za utosini na ukucha ule wa kidole cha mwisho. Hapo msamaha ni kusepa tu.
Kama huyo tena miaka miwili? Imagine miezi 24 mke wako anafunuliwa tu kama maganda ya pipi ..pumbavuu!!
Miaka 2 tayari mkaa utakuwa umeshahusika.....Akicheat mara moja tu napiga chini sembuse miaka miwili?
Acha bhasiiii... Amuache tu ha tuna haja na wanawake wa aina hiiEndapo kwa miaka yote miwili huyo mumewee hajawahiii fanya na mwanamke mwingine yeyote hata mara moja, basi na amwache mkewe...
Naunga mkono hojaNi Mara kumi mwanamke ajaribu kuniua kuliko anisaliti.
Maan hadi unaenda panua mapaja kwa jamaa mwingine siyo bahati mbaya hiyo maana mwili wako wote umehusika kuanzia nywele za utosini na ukucha ule wa kidole cha mwisho. Hapo msamaha ni kusepa tu.
Kama huyo tena miaka miwili? Imagine miezi 24 mke wako anafunuliwa tu kama maganda ya pipi ..pumbavuu!!
Vile wanaume wanavyotoka mapovu wakati wao ndio nguli wa uchepukaji