Wanawake kuweni makini

Mtoa mada hata wanawake na wake za watu wana mipango na nia njema kwa michepuko yao.

Swala la ndoa kufanywa kama hisani kwa mwanamke ndio linaloumiza watu wengi.

Ila usipende sana kuwa msuluhishi wa mapenzi ya watu, utakuja kupata aibu Mkuu.
 
Akishamuacha mkewe mwambie jamaa achonge mgomba aoe




As long as anaishi/ataishi na binadamu kuna uwezekano atasalitiwa tu

Tena inawezekana hata yeye anauza mechi ila kwa mkewe anajifahya ana kinyaa
Nyie mnaotetea huu ujinga inawezekana ndo mnakula wake za watu..Isitoshe mwanaume kutoka nje na mwanamke kutoka nje kuko tofauti kabisa.Hivi mfano wewe usikie dada ako jamaa anapiga au usikie ndugu yako wa kiume anapiga kwa dada fulani, ipi itakusumbua.Au usikie mama yako njemba mnamtusua huko nje na usikie baba yako anapiga nje..ipi itakuwa case nzito hapo??Mwanaume anaweza kuoa mke zaidi ya mmoja..lkn.siifikiri kama umeishawi ona kwa macho yako mwanamke mmoja anaolewa na wanaume zaidi ya mmoja kwa kipindi kimoja.
Waislam wanaruhusu hata mwanaume kuoa wake wanne lkn hawajaruhusu mwanamke mmoja kuolewa na wake wanne....

Acheni kula wake za watu, dawa yenu ni CHUMA tu
 
Unajaribu kuzuia nini sijakuelewa
 
Nimekuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…