fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Mara kadhaa imenitokea na pia nimesikia wenzangu pia wakishuhudia........wakati mwanaume anapokuwa katika harakati za kuomba uhusiano kwa mwanamke hukumbuna na maswali kama....hivi umenipendea nini? Unanipenda kweli? nitajuaje kama unanipenda?hivi ni kweli huwa wanapewa majibu ambayo ni sahihi na hao watarajiwa wao? na je ni sahihi kuuliza maswali haya mwanzo wa mahusiono? mimi napata shida sana kujua umuhimu wa maswali haya, nakaribisha mtazamo wenu wanajf