Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Gavana alikuwa Girman Rutihinda. Yeye Na waziri wa fedha Steven Kibona walikufa kifo cha ajabu sana. Walipelekwa India kutembea kwa lazima, waliporudi wakaanza kuumwa, serikali ikasema ni vyakula hawajavizoea, baada ya muda mfupi wakafa.
Usiamini hayo malalamiko, mwanaume hakosi hela ya kukupa ila hawezi kukuambia amekutengea sh ngapi. Ila angalia na mtu mwenyewe usije pigwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumechoka na maudhi pamoja na matangazo + malalamiko ya kila kukicha.
Ndipo tunatafuta zetu kwa jasho letu.
Ni kwamba kibao kimegeuka wanaume hawana hela..wanawake wanazo!