Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Gavana alikuwa Girman Rutihinda. Yeye Na waziri wa fedha Steven Kibona walikufa kifo cha ajabu sana. Walipelekwa India kutembea kwa lazima, waliporudi wakaanza kuumwa, serikali ikasema ni vyakula hawajavizoea, baada ya muda mfupi wakafa.
Hawa walimgomea mkuu ku print hela