Wanawake....let's be kind to men!!

πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ

Eti kila mtu anaendelea na chaka lake!🀣🀣 Na mlikutana wajeuri wawili, basi tabu tupu.

Eyyyyy...
Hapo kwenye personal growth hapo ndio penyewe sasa! πŸ™ŒπŸΎ πŸ‘πŸΎ Namuonea raha mhusika mkuu wa sasa hivi au ajae maana ndio atakaefaidi.πŸ€“ Mwambie Mangi akupe soda kwa bili yangu!!
 
Dr love lizzy 🀣

Nimepitia thread nyingi za nyuma huko,nyingi zinahusu mapenzi,sawa Doc🀣
 
Unauliza jibu jamani nyie watz mmenifanya nimepauka
🀣🀣🀣🀣🀣

Wanafika 10 hao wazinguaji??? Kama hawafiki mi nakupa mmoja wa mwisho. I promise he'll be good!
 
Dr love lizzy 🀣

Nimepitia thread nyingi za nyuma huko,nyingi zinahusu mapenzi,sawa Doc🀣
Sasa je!😁😁😁

Siunajua mahusiano (sio ya kimapenzi tu by the way) ndio kikorombwezo kikuu cha maisha...😌
 
Na nilivyo na hamu ya kukuona sasa 😁 mzuka kama wa kumuona rihanna mariah carey 😊
☺️🀣🀣🀣🀣

Sasa ongea na AI kabisa akuonyeshe ntakavyokua nafanania....sio ukiniona nakuja ulipokaa unikimbie, maana ntakukimbiza kama mwizi! πŸƒπŸΎβ€β™€οΈ 😏
 
☺️🀣🀣🀣🀣

Sasa ongea na AI kabisa akuonyeshe ntakavyokua nafanania....sio ukiniona nakuja ulipokaa unikimbie, maana ntakukimbiza kama mwizi! πŸƒπŸΎβ€β™€οΈ 😏
Na ukinionana na mm utakimbia yaani tutakimbiana uwanja ubaki mweupe πŸ˜„
 
Na ukinionana na mm utakimbia yaani tutakimbiana uwanja ubaki mweupe πŸ˜„
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kwahiyo itakua bila bila...??πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…