Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hapana ni zamani sanaNa hizo species umetaja hapo huwa zinakuwa na mahusiano na race zao tu, so ume stuck na sisi watz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni zamani sanaNa hizo species umetaja hapo huwa zinakuwa na mahusiano na race zao tu, so ume stuck na sisi watz
Ukiwa na muda nipigie nikuelezeeUna uhakika gani kama hukuwa na mistakes[emoji16]
👏🏾👏🏾👏🏾Nimekuja kupasha maarifa kidogo.
pengine nikarudi Temeke,niwaambie acheni wehu nyie, hem chukueni gamba lenu!
Ukweli kabisa mimi kuna vitu give or take, naona kabisa nilikuwa kama na hasira sana vile!
Kama nilikaza sana yani!
We bana weeee fresh tu kwanza na ye alikaza ,sa hiz sasa tunaulizana ila ilikuwaje ?
Tunacheka basi kila mtu anaendelea na chaka lake!
Uzuri we are still friends, gives us a lot of kujicheka although we both ok not to go back tulikokuwa!
Kuna vitu are best, vikibaki vilivyo!
I for one , i love the woman i am becoming and happy for him anavozidi kujipata.
Hapana ni zamani sana
Ukiwa na muda nipigie nikuelezee
Pole ya nini tena maishapopote ???Lizzy pole sana hii thread ya 2018 ila sa hv ndoa zooote zipo hivi na hawajali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unauliza jibu jamani nyie watz mmenifanya nimepauka
Mkimaliza mrudi na sisi wengine tujue![emoji851]
Na nilivyo na hamu ya kukuona sasa 😁 mzuka kama wa kumuona rihanna mariah carey 😊We endelea kunibishia tu kila siku... sasa ukiniona ukanisalimia shkamoo ntakupiga!!!! 😆😆
Na ukinionana na mm utakimbia yaani tutakimbiana uwanja ubaki mweupe 😄☺️🤣🤣🤣🤣
Sasa ongea na AI kabisa akuonyeshe ntakavyokua nafanania....sio ukiniona nakuja ulipokaa unikimbie, maana ntakukimbiza kama mwizi! 🏃🏾♀️ 😏
Nilishaachana nae sa hv nna mke mwingineMkuu VIP mlifanikiwa kuweka mambo yenu sawa
😉Dr Lizzy kumbe huwa una andika nyuzi😃.
👉Sema hi lugha hai tufai, , tulio Soma chini ya mbuyu😃