We shold put this matter to rest!!!!!!! Anhaaaaaaaaaa! Tushasema Ndoa Bakhti! Watu wengine wanaolewa 40 huko itakuwa 28! Wengine 28, ndoa ya 2, na zinakuja zingine! NDOA HAINA FORMULA!!!!!!!!!!!!
Yaani wewe wa juzi kweli! Wenzio tunasema mtu asiolewe hadi afike 30! Waulize wenzio ni raha kiasi gani kuwa na a mature wife. Ndoa za utotoni hazikubaliki!