Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana jf,,
Kwa utafiti nilioufanya nimegundua kua binti akifikisha miaka 28-nakuendelea, kama hajaolewa huishia kuzaa na waume za watu. Na kama ataolewa basi ataolewa na mme wa mtu (awe bimdogo) [possibility 87%] au mwanaume aliyeachana/kufiwa na mkewe...[possibility 73%]
Huo ndio ukweli wenyewe...
dadako kaolewa, au unajifurahisha tu na mada ambazo zishapita na wakati?
Wana jf,,
Kwa utafiti nilioufanya nimegundua kua binti akifikisha miaka 28-nakuendelea, kama hajaolewa huishia kuzaa na waume za watu. Na kama ataolewa basi ataolewa na mme wa mtu (awe bimdogo) [possibility 87%] au mwanaume aliyeachana/kufiwa na mkewe...[possibility 73%]
Huo ndio ukweli wenyewe...
huh?...!!heee we huna kaz au?huchoki kuzungumzia wanawake kumbe ni kwel wataalamu wanavyodai mwanaume hutumia masaa 20kati ya 24 katika cku kuwaza wanawake na mapenz ni kwel kwani aliekwambia wanawake wanahusudu sanaaaa kuolewa nani? labda dada zako..we kama umetoka kupigwa kibut na mtu wa age hyo kajambe machungu yako hukooo uctunukie hapa jf...imbecile
sawa kabisaaa.mambo hayo yamekua oldfasheni.Ukweli hujitenga na uongo siku zote! Hakuna anayetaka kumuo mke mzee hata siku moja. Tafiti zinaonesha kwamba mwanamke >30 anapata complications nyingi kwenye uzazi pia uwezekano wa kuzaa watoto wasio na akili nzuri ni mkubwa! Any way mm binafsi mm naöna ndoa haina faida yeyote ndo ipo kiimani zaidi na hasahasa km ka mfumo fulani ka maisha mtu anapaswa akapitie hata biblia ipo wazi kabisa mungu anapendelea maisha ya useja na utawa zaidi maana ndoa ni kifungo au agano haikuweki huru kumtumikia mungu ipasavyo hivyo si lazma kuoa au kunlewa!
aah wapi?.Kwenda zako,
tutakuvunja taya.
Mbona mie nina 23 na nipo nyumba ndogo ya m-babu moja tambi la njenje, he's 75 years na ana mkewe wa ndoa mpaka sasa.
Ingia chaka kusahihisha utafiti wako.
huyu mtoa mada hana jipya inawezekana dada zake wana umri huo hawajaolewa kwa kifupi sio wanawake wote wanataka kuolewa
We shold put this matter to rest!!!!!!! Anhaaaaaaaaaa! Tushasema Ndoa Bakhti! Watu wengine wanaolewa 40 huko itakuwa 28! Wengine 28, ndoa ya 2, na zinakuja zingine! NDOA HAINA FORMULA!!!!!!!!!!!!
We shold put this matter to rest!!!!!!! Anhaaaaaaaaaa! Tushasema Ndoa Bakhti! Watu wengine wanaolewa 40 huko itakuwa 28! Wengine 28, ndoa ya 2, na zinakuja zingine! NDOA HAINA FORMULA!!!!!!!!!!!!