mie I already said if I were in my 38 and am not married that woulb be something else
By the way huo utafiti wako uliufanyia wapi!!!!!!!!!!!!
Wana jf,,
Kwa utafiti nilioufanya nimegundua kua binti akifikisha miaka 28-nakuendelea, kama hajaolewa huishia kuzaa na waume za watu. Na kama ataolewa basi ataolewa na mme wa mtu (awe bimdogo) [possibility 87%] au mwanaume aliyeachana/kufiwa na mkewe...[possibility 73%]
Huo ndio ukweli wenyewe...
We shold put this matter to rest!!!!!!! Anhaaaaaaaaaa! Tushasema Ndoa Bakhti! Watu wengine wanaolewa 40 huko itakuwa 28! Wengine 28, ndoa ya 2, na zinakuja zingine! NDOA HAINA FORMULA!!!!!!!!!!!!
Natafuta mchumba mwanamke sibagui rangi umri dini wala kabila awe na Upendo wa dhati
Dah! hizi ni hasra au kuguswa!heee we huna kaz au?huchoki kuzungumzia wanawake kumbe ni kwel wataalamu wanavyodai mwanaume hutumia masaa 20kati ya 24 katika cku kuwaza wanawake na mapenz ni kwel kwani aliekwambia wanawake wanahusudu sanaaaa kuolewa nani? labda dada zako..we kama umetoka kupigwa kibut na mtu wa age hyo kajambe machungu yako hukooo uctunukie hapa jf...imbecile
he makubwa ! hayo ni mawazo yake tu ......wala mamake hayamhusu ...mjibuni kwa hojaHuyu mleta thread hii unamtafuta nini mama yako, dada zako, shangazi zako, bibi zako, mama mkwe wako na mabinti zako? ukijua kurespect hawa watu sidhani kama kila uchao na uchwao utakuwa unawaza habari zinazowahusu. au bi mkubwa hakuolewa ndo maana unaumia sana nini?