Wanawake mkipata wapenzi wapya punguzeni "show off" kwenye "status za WhatsApp"

Women were created with little intelligence and thinking capacity they will remain in the same status until the advent of Jesus Christ. God help your creatures.
 
Huwa wanafanya hivyo kwa lengo la kukomoa.
Mnaweza labda mkawa mmehitilafiana kidogo afu yeye anakimbia kuanza kupost vipicha( vingine hata Ni vya marafiki zao) ili akukomoe tu.
 
Pana nyota haziendani talaka lazima kwa sababu wameunganishwa na upofu wa ngono na sio nyota
 
Pana nyota haziendani talaka lazima kwa sababu wameunganishwa na upofu wa ngono na sio nyota
 
Nyota zikiendana no talaka,no kupigana,amani, furaha,maendeleo no kucheat,no watoto wa nje,no maumivu,baada ya mda mnafanana sura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…