Wanawake mkipata wapenzi wapya punguzeni "show off" kwenye "status za WhatsApp"

Wanawake mkipata wapenzi wapya punguzeni "show off" kwenye "status za WhatsApp"

Kilishawahi tokea kisa?
JF kwa kupenda visa vya watu 😂😂😂

Nilichomaanisha nishawai kua na mtu wa dizaini ya anaemsemea mtoa mada most ni marafiki au hata ndugu hua naona wanapost post wapenzi wao

So at the end i figured that hawajiamini and in most cases they r trying to prove something
 
Ukiona mwanaume anampost demu wake karibu kila siku jua ana ushamba wa mapenzi au hajiamini na huyo mwanamke. Hayo ni mambo ya wanawakee kuonesha emotion na feelings zao mitandaoni. me mademu wangu asilimia 90 sijawahi kuwapost tunadate hata mwaka mmoja na zaidi alafu unyama tu.
 
JF kwa kupenda visa vya watu 😂😂😂

Nilichomaanisha nishawai kua na mtu wa dizaini ya anaemsemea mtoa mada most ni marafiki au hata ndugu hua naona wanapost post wapenzi wao

So at the end i figured that hawajiamini and in most cases they r all trying to prove us wrong
Yani usingetwambia tungekifuata kisa PM
 
Si nakataa
Eti "si nakataa", tone ya kudeka kabisa hii.. [emoji23]

Halafu unaweza ukakuta una familia wewe, eti mke na watoto wanakutegemea [emoji23][emoji23].. (natania tu mkuu pls don't be offended).

Ila JF raha sana!
 
Wanawake ndio jinsi walivyo THEY ARE ALWAYS NEEDS ATTENTION PSYCHOLOGY OF LOVE STILL DOING SOME RESEARCH BUT OBSERVATION STUFF SHE JUST NEED YOUR ATTENTION AND THAT TOO BAD KUWA NA POWERFUL OF IGNORANCE WAPOTEZEE JIJALI WEWE MWENYEWE KWANZA AND THEY WILL ALWAYS COME FOR Y
 
Wakikua wataacha. Siku hizi hata demu wangu nimkute live kitandani na mwamba sioni ajabu. Kupost ndio kabisaaaaaaaaa namuona kiazi
Mkuu usiseme hivyo, labda kama hujapenda.

Kuna mwanamke unatokea kumpenda ila mkitofautiana unaleta ule uanaume tu kwamba lazima yeye ajinyenyekeze ndiyo umsamehe, ila kimoyomoyo hata wewe unatamani kumuomba msamaha yani.

Nakiri kwamba hii kitu ishanitokea kama mara 3 hivi in my lifetime. Kwa hasira utajikuta unafuta namba yake ya simu kumbe unayo kichwani [emoji1], uki-mute siku 3 na yeye aka-mute unaumia kinoma.

Mara unaiacha simu maghetoni au unaiweka kwenye silent mode ukidhania kwamba ukiishika utakuta missed call na msgs za "baby I am sorry", ukiicheki simu unakuta hola, moyo unazidi kuvuja damu.

Sasa ndiyo usema ampost mwanaume mwingine usiumie? Acha kabisa mkuu, tena hakuna status mbaya kama ile anampost mwamba mwingine halafu haweki caption yoyote. Alahaulaa...[emoji23]

Unajua kinachokuumiza ni nini? Ni ile una-imagine vile analalamika kipindi hicho mko faragha kwenye bedfight, sasa this time around, huo upendeleo wote anapewa mwanaume mwingine...[emoji3]

Acha tu braza. Inauma ingawa masela tunajifanyaga wagumu. Sema tu ndiyo ile falsafa ya kilio cha samaki, machozi yanaenda na maji. Kama hujamuelewa mbona fresh tu, hata afanye nini ndiyo kwanzaa unashukuru [emoji3].
 
Kwanini mkuu [emoji23]
Uwasilishaji wako wa mawazo kwenye nyuzi mbalimbali huwa unanivutia [emoji4].

Hivyo najaribu kukufahamu zaidi kabla sijaja PM. Ninachofanya hapa ni kulinganisha comments zako nijue kama unayozungumza ni halisia au fix [emoji23].

Ingawa wadau wengi humu ni wajanja wajanja ila sisi wachache tuliosoma CUBA tuna uzoefu kwenye hili eneo [emoji2].

So relax mkuu. Bado nakufanyia upembuzi yakinifu [emoji23][emoji23]
 
Mkuu usiseme hivyo, labda kama hujapenda.

Kuna mwanamke unatokea kumpenda ila mkitofautiana unaleta ule uanaume tu kwamba lazima yeye ajinyenyekeze ndiyo umsamehe, ila kimoyomoyo hata wewe unatamani kumuomba msamaha yani.

Nakiri kwamba hii kitu ishanitokea kama mara 3 hivi in my lifetime. Kwa hasira utajikuta unafuta namba yake ya simu kumbe unayo kichwani [emoji1], uki-mute siku 3 na yeye aka-mute unaumia kinoma.

Mara unaiacha simu maghetoni au unaiweka kwenye silent mode ukidhania kwamba ukiishika utakuta missed call na msgs za "baby I am sorry", ukiicheki simu unakuta hola, moyo unazidi kuvuja damu.

Sasa ndiyo usema ampost mwanaume mwingine usiumie? Acha kabisa mkuu, tena hakuna status mbaya kama ile anampost mwamba mwingine halafu haweki caption yoyote. Alahaulaa...[emoji23]

Unajua kinachokuumiza ni nini? Ni ile una-imagine vile analalamika kipindi hicho mko faragha kwenye bedfight, sasa this time around, huo upendeleo wote anapewa mwanaume mwingine...[emoji3]

Acha tu braza. Inauma ingawa masela tunajifanyaga wagumu. Sema tu ndiyo ile falsafa ya kilio cha samaki, machozi yanaenda na maji. Kama hujamuelewa mbona fresh tu, hata afanye nini ndiyo kwanzaa unashukuru [emoji3].
Mkuu huko nilishapita na sikuambulia chochote zaidi ya maumivu, hayo maumivu yakawa ni funzo kwangu, mwaka jana nimezika mshkaji kisa kuendekeza hisia na kutoukubali uhalisia(aligundua anachapiwa).
Usijikabidhi mazima mazima kwa KE, hata wao wanalifanya hilo pia kwetu ni muhimu kutumia akili zaidi kuliko moyo. Nilishaumia sana na hawa wanawake ila kwasasa labda nirogwe.
Ipo hivi, mimi ni mtu ambae nilikua nikipenda huniambii kitu, naingia mazima na najitoa mpaka mimi mwenyewe najinyima kumfurahisha KE lakini sijaona faida yake zaidi ya maumivu, nikagundua kumbe hayanaga return kutokana na ulichowekeza. Nikaamua kuchange/nimekomaa sina muda wa maumivu tena lakini haimaanishi kuwa sipendi, nnapenda tena vizuri tu ila nikiona tu hapa kuna namna haipo sawa huyo nachochora sihitaji kumuumiza mtu kama nisivyohitaji kuumizwa.

Mwaka juzi niligundua pisi yangu imetoka kuliwa na Ex alafu kapita kwangu anataka tendo, nikacheka nikamwambia aendelee na maisha yake mimi nimesamehe ila siwezi kuendelea nae tena, akajiliza na kuomba msamaha mwisho wa siku nikawa nishaamua sikujali uzuri wake na shoo zake.
 
Mwaka juzi niligundua pisi yangu imetoka kuliwa na Ex alafu kapita kwangu anataka tendo, nikacheka nikamwambia aendelee na maisha yake mimi nimesamehe ila siwezi kuendelea nae tena, akajiliza na kuomba msamaha mwisho wa siku nikawa nishaamua sikujali uzuri wake na shoo zake.
Anakuja kwako kutaka tendo gani?
 
Back
Top Bottom