Wanawake mlio kwenye ndoa badilikeni, mnachokifanya mnadhalilisha sana waume zenu.

Wanawake mlio kwenye ndoa badilikeni, mnachokifanya mnadhalilisha sana waume zenu.

ni a uume naringia mimi?
Najua ww ni lady
nafikiri haujanipata vizuri
ss wanaume kinachotupa kiburi ni uume ndiyo maana mtu yupo ladhi atembee na mke wa mtu.
Matokeo yake uume unashindwa kusimama au unashindwa kuzaaa. Mwishowe na ww unagongewa tena mkeo anazalishwa kbsa.
Si hauna uwezo wa kuzalisha.
MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI
 
Siku zote mwanamke hupenda shortcut ktk kutatua tatizo.
Na hayupo tayari kuongea na muhisika bora akalizungumze na watu wengine baki na siyo mhusika.
Yupo radhi acheat, na akikamatwa akaachwa anaanza kumlaumu mume wake kwa kumuacha na anaona km anaonewa
Hapa ndiyo huwa nashindwa kuwaelewa wanawake.
Kwa bahati mbaya baadhi ya wanawake ni wajinga na hung'ang'ania ujinga wao huo hadi wakavunja ndoa kwa vitu vya kipuuzi tu.
 
Hao walitaka tu Uwafikishe pale wasipofika ndio maana wakaja kwako kwa sababu Walikuamini......
Sijui ulishtuka nini mwanaume wa dar wewe, Lingekushuka ka waume zao......

Wanaume wa dar bwana kwa kweli niwape pole za dhati kabisa.
 
Hao walitaka tu Uwafikishe pale wasipofika ndio maana wakaja kwako kwa sababu Walikuamini......
Sijui ulishtuka nini mwanaume wa dar wewe, Lingekushuka ka waume zao......

Wanaume wa dar bwana kwa kweli niwape pole za dhati kabisa.
Wewe una matatizo kichwani , lete hicho kibunye chako nikuchomeke mpaka maji mepesi yakutoke katika nyaku yako.
 
Bado nawaza hao wake za watu kadhaa, kwanini wanakufuata wewe tu kukueleza mambo yao ya ndani? Au wanakuchukulia kama shosti yao?
Unajua ukiwa mkarimu kwa kila mtu na mwenye busara unafuata na wengi tu, wakihitaji ushauri au neno moja litakalowapa faraja au matumaini.
 
Nilikuwa na kijibahati kama chako; kuelezwa matatizo ya waume zao; nikajichunguza na Mimi ; naishi vipi na hawa wake za watu, nikagundua nahitaji kupunguza mazoea,ukiona unaelezwa mambo hayo saaana ujue unatafutwa wewe siyo suluhu ya mume husika; last time nilimpa makavu mama mmoja hivi hakurudia tena
From there cpendi kuwapa muda mrefu wa kuzungumza hawa watu hasa tukiwa wawili !nawaogooooopa! Siyo salama hata kidogo. Atakuja na nidhamu akikuzoea inakuwa balaaa
Umeongea kweli kabisa mkuu.
 
Ndoa za siku hizi kutiana ukichaa tu, wake zetu wana matatizo kweli, hata ukiwafikisha wataibua matatizo mengine tu.
 
Hamuwakuni vilivyo ndio maana mnasema hawana maadili. Njoo mikoani kama utayasikia hayo
Wanaume wa dar bwana mnasingizia maadili, duu kweli mmeishiwa
Acha ushamba Mkuu, kwani kuna utofauti gani kati ya mume wa Dar na Mkoani . Chips yai, sembe siku hizi mpaka mkoani.
 
USHAWAHI KUWA NA DEMU MWEMBAMBA ADI UKIENDA NAE KLABU BAUNSA ANASEMA ATURUHU KUINGIA NA MIWA
 
Mkuu Sasa Basi umegusa ukweli wanawake wenye tabia hiyo lazima mapovu yawatoke lakini ukweli umewapa hawajui kuwa hata sisi tunaodharaulika kwenye ndoa zetu huko nje tunasifiwa na kupewa vitu adim Ukisema cha nini mwenzio unasema nitakipata lini inabidi wajiongeze kiakili
 
Atakuwa ni mke wangu huyo, hata hayo maneno yananigusa moja kwa zote.

Michaelray: We siasa basi kwa nini mke wangu kukuelezea mambo ya nyumba yangu?

Siasa Basi: Shikamoo mueshimiwa!!
Michaelray: Embu ntolee upuuzi Mimi, unajua nimemtoa wapi huyo Mke no.2.

Siasa Basi: Kaja mwenyewe kunielezea..
Michaelray: kukuelezea nini? (Akimkatisha).

Siasa Basi; Eti unakibamia(kwa sauti ya mnong'ono)
Michaelray: Ati Kibamia!! Mungu wangu. (Haya ikiwa imeufunika Uso wake)

Siasa Basi: Tena eti unapiga kibao kimoja kama yule jogoo pale( Anamwonyesha jogoo anayempanda mtetea aliyekaribu yao).

Michaelray: (hasemi kitu zaidi ya kuahusha pumzi kama Kobe Mzee).

Siasa Basi: Mzee nakushauri uache mapenzi na ndoa kwa kwa ujumla. Ujiite MAPENZI BASI.

Wanashikana Masharti, Onyesho linaisha jukwaani, Wanajamii Foramu wanashangilia wote isipokuwa Wenye Vibamia.

Karibu katika onyesho lijalo
 
Back
Top Bottom