Wanawake mlio kwenye ndoa badilikeni, mnachokifanya mnadhalilisha sana waume zenu.

Wanawake mlio kwenye ndoa badilikeni, mnachokifanya mnadhalilisha sana waume zenu.

Sasa kama walikuamini na wakakueleza wewe ili uwashauri tatizo liko wapi? Au we ulitaka wafanyaje?
Mbona niliwapa ushauri mzuri sana na wakaufanyia kazi, sema kuna wengine wanasema si kwa kuhitaji ushauri bali msaada wa kufikishwa peponi. Nao pia wanapata, ila zaidi natoa ushauri mzuri njia ya kuweza kumaliza tatizo.
 
Tatizo hawawajui waume zao !! Aliyetakiwa kuwa mume wa mwanamke ni yule aliyemtoa usichana ( bikra ) tuu. Hawa wengine ni wapita njia.
 
Sasa kama walikuamini na wakakueleza wewe ili uwashauri tatizo liko wapi? Au we ulitaka wafanyaje?
Huyu bwana haeleweki, na mwenye Tatizo ni yeye sio wao! Mtu akikueleza siri zake za ndani haina maana kuwa ni Mlopokaji au haijui ndoa na madhira yake, lakini kwa akili finyu za mtoa mada akabadili upepo na kuja kuwasimulia na kuwaona kama watu wasiofaa,huu ni ujinga uliopita kiasi, huwezi kuwashauri au kuwatia moyo basi bora ukatae kuwasikiliza tu kuliko kuja JF na wewe ukajifanya una Mada ya Ku post
 
Mbona niliwapa ushauri mzuri sana na wakaufanyia kazi, sema kuna wengine wanasema si kwa kuhitaji ushauri bali msaada wa kufikishwa peponi. Nao pia wanapata, ila zaidi natoa ushauri mzuri njia ya kuweza kumaliza tatizo.
Kumbe wewe ndio jipu.
 
Huyu bwana haeleweki, na mwenye Tatizo ni yeye sio wao! Mtu akikueleza siri zake za ndani haina maana kuwa ni Mlopokaji au haijui ndoa na madhira yake, lakini kwa akili finyu za mtoa mada akabadili upepo na kuja kuwasimulia na kuwaona kama watu wasiofaa,huu ni ujinga uliopita kiasi, huwezi kuwashauri au kuwatia moyo basi bora ukatae kuwasikiliza tu kuliko kuja JF na wewe ukajifanya una Mada ya Ku post
Ukimsoma vizuri utajua ni kwa jinsi gani hao wanawake (kama kweli lakini maana siamini ktk hili) walikosea.
 
Huyu bwana haeleweki, na mwenye Tatizo ni yeye sio wao! Mtu akikueleza siri zake za ndani haina maana kuwa ni Mlopokaji au haijui ndoa na madhira yake, lakini kwa akili finyu za mtoa mada akabadili upepo na kuja kuwasimulia na kuwaona kama watu wasiofaa,huu ni ujinga uliopita kiasi, huwezi kuwashauri au kuwatia moyo basi bora ukatae kuwasikiliza tu kuliko kuja JF na wewe ukajifanya una Mada ya Ku post
Be a were of your body language binti, inaonekana na wewe una matatizo makubwa kwenye ndoa yako binti yangu ngoja nikupe ushauri kama ninavyowapa wenzako, so begin today to respect your husband in thought, word and deed. If you are having a hard time thinking of anything to admire, consider these categories : physical traits, mental skills, financial strengths, spiritual growth or heath relationship . Men don't give a lot of weight to feeling show them facts and they'II be more likely to listen. Nahisi umenielewa binti yangu na kama una matatizo zaidi nifate Pm nitajua nini cha kukusaidia
 
Ukimsoma vizuri utajua ni kwa jinsi gani hao wanawake (kama kweli lakini maana siamini ktk hili) walikosea.
Ha ha ha ha pole sana if you want to have a peaceful, happy marriage, learn the art of the compliment. Compliments are like magnets and the more he will be attracted to you.
 
Ukimsoma vizuri utajua ni kwa jinsi gani hao wanawake (kama kweli lakini maana siamini ktk hili) walikosea.
Na ukimsoma vzr mtoa post alikua na lengo la kujisifia, maana kuna comment zake anadai wengine wanataka zaidi ya ushauri na yeye anawapa, sioni kosa mtu kueleza matatizo yake kwa mtu anayemuamini, maana binadamu wameumbwa tofauti mwingine akisema anakua kama katua Mzigo mzito! Kosa ni pale Huyo anayeaminiwa akilichukulia kama faida
 
Na ukimsoma vzr mtoa post alikua na lengo la kujisifia, maana kuna comment zake anadai wengine wanataka zaidi ya ushauri na yeye anawapa, sioni kosa mtu kueleza matatizo yake kwa mtu anayemuamini, maana binadamu wameumbwa tofauti mwingine akisema anakua kama katua Mzigo mzito! Kosa ni pale Huyo anayeaminiwa akilichukulia kama faida
Ndio hapo chacha. Hope atajirekebisha kwanza yeye kabla ya kuwarekebisha hao anaowaongelea.
 
Ndio hapo chacha. Hope atajirekebisha kwanza yeye kabla ya kuwarekebisha hao anaowaongelea.
Atoto na LadyAJ mashambulizi yenu sasa yamezidi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] twende taratibu
 
Ndoa si lele mama, ili iweze kustawi na kudumu lazima kila mwanandoa anapaswa ajifunge kwa dhati kuitumikia ndoa hiyo. Kila anaeingia katika mkataba wa ndoa anaingia na matatizo yake binafsi. Na hakuna binadamu aliyekamilika kwa vyote, wengine wafupi, wengine warefu, wengine wanene, wengine wembamba, wengine wazuri , wengine wabaya, wengine weupe , wengine weusi, wengine wapole, wengine roho mbaya kama scorpion, wengine wakarimu, wengine wachoyo, orodha ni ndefu sana.

Kuna hii tabia mbaya sana kwa wake za watu wanaotafuta mapungufu ya waume zao kisha kuyashikia bango. Na bahati mbaya hawana siri tena, kila mtu anayepita mbele yao wanaropoka yote. Mnatia aibu sana badilikeni, mambo mengine mnazungumza wawili ndani na sio kuyatoa nje kwa wapita njia.

Kuna wake za watu wamenifuata kwa nyakati tofauti kuomba ushauri juu ya waume zao hasa wawapo kitandani. Mazungumzo yetu yalikuwa hivi:

Mke wa mtu 1" Siasa basi yaani mume wangu hakuna kitu kabisa, usiku ananipiga kimoja anaanguka kule anaanza kukoroma nalala na nyege zangu, wakati mwingine anapoamka asubuhi anakurupuka ananipiga kimoja anakwenda kazini nabaki na nyege tele sijui nifanyeje!"

Siasa basi " Kwani wewe unataka upigwe vingapi?

Mke wa mtu1" Hata nikipigwa kimoja basi kiwe cha ujazo jamani, yeye hata dakika 5 nyingi'

Siasa basi" umeshawahi kumwambia kuwa hakufikishi?"

Mke wa mtu 1" Mhhh nitaanzia wapi, naogopa hata kumwambia, si ataniona malaya."

Mke wa mtu 2 " Siasa basi, mume wangu jamani anakibamia, yaani hata akiingiza sisikii chochote , na wala hanifikishi popote, bora nijitie hata vidole"

Siasa basi" wakati unaolewa hukujua kuwa ana kibamia, leo ndio unakiona?

Mke wa mtu 2 " unajua siasa basi, mwanzo kidogo alikuwa afadhali, sasa hivi ndio kimekuwa kidogo zaidi, cha ajabu anaweza kumaliza hata mwezi hajanigusa kabisa, ndoa kwangu imekuwa ngumu sana, siwezi kuvumilia kwa kweli, napewa kila kitu ninachotaka, na mume wangu kama unavyomuona ni tajiri sana hapa Dar"

Haya ni maongezi yetu machache na wake hawa. Katika mazungumzo hayo utabaini wana matatizo kabisa. Kama unataka kuona ndoa yako inakuwa na furaha epuka tabia ya kuchokonoa kasoro za mume wako. Puuza kasoro zake, usimlinganishe na mwanaume mwingine, inawezekana pia hao wanaume wakawa na kasoro ambazo mume wako hana. Tulia ridhika na mazuri yake. Kuhusu suala la kupeana raha muwapo faragha, kaa nae vizuri mwandalie mazingira mazuri na tulivu kisha mwambie kwa utaratibu kwa mahaba. Lazima atakuelewa tu, mtasaidiana pamoja kuondoa tatizo.

Kuna mambo mengi sana yanayopelekea upungufu wa nguvu za kiume kufikia kushindwa kukufikisha. Yawezekana ikawa wewe ndiye tatizo, akitoka nje anapiga mechi na mashambulizi yake ni ya hatari. Badilikeni kaeni na waume zenu myamalizie ndani na sio kuyatoa nje hovyo.
Usioe
 
Back
Top Bottom