Wanawake mlio na ndoa someni hapa kuna la kujifunza

Wanawake mlio na ndoa someni hapa kuna la kujifunza

Stori iko na mafundisho mazuri sana,

Nadhani ni ya kutunga au umesimulia maisha mtu mwingine,

Pale uliposema tuliachana rasmi 2009 halafu mtoto huyo ana miaka saba,


Siku nyingine andika insha vizuri zaidi ya hii, Hongera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli ni mwanamke ametoa huu ushuhuda ...hakika kayatoa yaliyo ya kweli.....wanawake, na hasa mlioko kwenye ndoa...jifunzeni kitu hapa..........siku zote jamii inaonaga mwanamke ndie anaonewa.......but kuna WANAWAKE hatari...sio wote......ila wapo......na wengi wao wanaponzwa na washauri.....ambao ndio miungu watu wao.........shetani huwa karibu na wewe.......yakishaharibika huenda zake beach kupumzika...and kuselebrate.....while awaiting for .next...assignment. .


Haya ni ya moyoni na yafaa kujifunza sisi sote.

Si wanawake si wanaume kuna nyakati tunajisahau na kuona upande wa pili hawana la kufanya. Ishatokea mtu anakusimanga sana, anakutafutia sababu ili tu muachane ila bado wang'ang'ana maana wajua thamani ya upendo...ataibuka na mimaneno ya kuumiza kuwa "kuna wenye pesa zao huko wanaonihitaji, wewe na "vijipesa vyako", daga na mchicha kila siku utadhani tuko gerezani!! Uvumilivu una mwisho...unapokubaliana na alitakalo anaondoka kwa nyodo zote na matusi juu....baada ya muda anaanza kujutia na hasira zinakuwa nyingi zinazoambatana na kukosa kibali na masimango ya wale aliowaona wanafaa!

Mthamini akupendaye, kamwe hutojuta.
 
Haya ni ya moyoni na yafaa kujifunza sisi sote.

Si wanawake si wanaume kuna nyakati tunajisahau na kuona upande wa pili hawana la kufanya. Ishatokea mtu anakusimanga sana, anakutafutia sababu ili tu muachane ila bado wang'ang'ane maana wajua thamani ya uoendo...ataibuka na mimaneno ya kuumiza kuwa "kuna wenye pesa zao huku wananihitaji wewe "vijipesa vyako" daga na mchicha kila siku jana gerezani!! Uvumilivu una mwisho...unapokubaliana na alitakalo anaondoka kwa nyodo zote na matusi juu....baada ya muda anaanza kujutia na hasira zinakuwa nyingi zinazoambatana na kukosa kibali na masimango ya wale aliowaona wanafaa!

Mthamini akupendaye, kamwe hutojuta.
katika ndoa kuna vitu huwa vinaumiza....Mungu atusaidie.....maneno yanauma sana......nikiona vijana wangu wanavyokua...namuomba Mungu sana.....
 
Pole sana kwa yaliokukuta, ndoa huwa ni yawatu 2 tu, mkianza kuleta wengine kati hapo ndoa inakosa uhai,
labda uwe na ndugu wenye akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Very true,ndugu,marafiki ,mashoga ukishawaingiza kwenye ndoa yako hiyo ndoa haitawaliki,ndoa inakuwa remotely controlled.Wanawake wa aina yako wako wengi sana,anaanzisha visa ambavyo havipo ili tu kukutwist aone stability yako ikoje,ila kaa ukumbuke iko siku akichoka talaka lazima ikuhusu...
 
Back
Top Bottom