Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
😂😂😂😂
 
Umekula ujana wako unataka nikuoe mimi ! Aweeee
Screenshot_20250204-122457_WhatsApp.jpg
 
Wakiwa early 20s huwa wana maneno machafu na dharau kibao. Wakiacha kuchacha sasa kama Maharage ya juzi, yaaani full usumbufu na kutia tia huruma kmmae zao
hili limetoka rohoni kabisa 😉😉😉
ila hawa kenge kwa kweli wanatujibugi maneno ya hovyo sana wakati wapo prime wacha na sie tuwarudishie maneno mbofu mbofu kenge kabisa hawa
 
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Punguza ghadhabu, alokukosa ni nani tumjaribu kumsemeza?
 
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Haki huu Uzi umefanya nicheke mpk naonekana kituko 😂😂😂😂
 
Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Basi mkuu wamekuskia na kukuelewa 😂😂
 
Back
Top Bottom