Lekaga bhebhe Nang'o onani wakolya makombo?Wasamehe Mkuu, watu hujifunza kutokana na makosa wape self golden chance ili uwaondolee sonona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lekaga bhebhe Nang'o onani wakolya makombo?Wasamehe Mkuu, watu hujifunza kutokana na makosa wape self golden chance ili uwaondolee sonona
Shangazi tokea lini nyie vihongweNani kamchokoza tena Shangazi huku??
Nawachawi wewe kaaa kwakutulia tumelogewa wanaume wasituoe wakaolewa wao wengine hadi sasa ndoa zimewashinda mnalogwa sema hawaambi tu watoto wengi tu sio damu zenu .Endelea kuthibitisha ni kwasababu gani una miaka 34 na ndoa huna! Kutukana ni ishara ya immaturity bibie, wanawake wote wenye akili timamu wapo kwenye ndoa zao
Mie naolewa mwaya unahitaji kadiUnitafute ukifikisha 45
Genehe Ng'wanangwa? Agayanda gatale kado nalegangimbyq duhu 😂😂😂Lekaga bhebhe Nang'o onani wakolya makombo?
Unaolewa na nani tena huyo ambaye kajitolea kubeba gunia la misumari kichwani.Mie naolewa mwaya unahitaji kadi
Vihongwe tena ndio nini.Shangazi tokea lini nyie vihongwe
Hamna uchawi kwenye ndoa, badili mtazamo wako, ndoa ni zaidi ya hizo hela. Labda nikusahihishe hakuna mwanaume ambaye kapata hela pasi na msaada wa mwanamke(mke) akaoa mapema.Nawachawi wewe kaaa kwakutulia tumelogewa wanaume wasituoe wakaolewa wao wengine hadi sasa ndoa zimewashinda mnalogwa sema hawaambi tu watoto wengi tu sio damu zenu .
Mwanaume mwenye hela haoi mapema maana anachagua wasahihi wanawake ambao hawajaolewa wana jitambua walioolewa wachawi hawajitambui
Mimi mwanamke akinikataa eti sio type yake, ndio imeisha hiyo, hata aje kulia machozi ya damu, I would never turn down my decision..Hamna uchawi kwenye ndoa, badili mtazamo wako, ndoa ni zaidi ya hizo hela. Labda nikusahihishe hakuna mwanaume ambaye kapata hela pasi na msaada wa mwanamke(mke) akaoa mapema.
Tatizo mnafikiri tunawatukana tunavyowaambia ukweli, dada yangu ameolewa na miaka 40+ mwaka jana, sio kwamba hakupata wanaume wakumuoa ni vile tu alikuwa anachagua sana mwisho wa siku wakutangaza ndoa wakakata mguu, kilichotokea kuna tetesi wanasema kajilipia mahari ili aolewe!
Waambieni wadogo zenu ukweli wasipoteze nafasi wakati bado wakati unaita, muda haumsubiri mtu na nina hakika unalijua hilo.
Dawa na iwaingize maajuza nyie. Acheni shobo na sisi, rudini mlipokula 20+ zenuPovu ya SGR
🤣🤣Hapa ndio napopenda mie, wanawake ujanja wote mwisho 28.
Akishagusa 29 anaanza kupanjc. Yupo mmoja hapa ni 29 anajua nina ngoma lakini anasema wee mzabzab nioe tuu
Wewe ni kihongwe sema hatukuoni tuma picha tuoneUnaolewa na nani tena huyo ambaye kajitolea kubeba gunia la misumari kichwani.
Eh ni kajitoleq shida iko wapi?? Wewe usijitolee subiria waje wakutolee mahari uolewe.Unaolewa na nani tena huyo ambaye kajitolea kubeba gunia la misumari kichwani.
Hivi nani akiiba anasema kaibaNawachawi wewe kaaa kwakutulia tumelogewa wanaume wasituoe wakaolewa wao wengine hadi sasa ndoa zimewashinda mnalogwa sema hawaambi tu watoto wengi tu sio damu zenu .
Mwanaume mwenye hela haoi mapema maana anachagua wasahihi wanawake ambao hawajaolewa wana jitambua walioolewa wachawi hawajitambui
Haikubaliki....plus HIV, UTI sugu, alifanyiwa sana fingering kule MIXX BY Yas, Kunyonya sana mishedede hayo yote anataka kumtwisha mvaa vitenge mashati
Jua kwako limezama ewe mshangazi. Please kaa kwa kutulia.Hivi nani akiiba anasema kaiba
NAkuamini kipenzi,. Huku mtaani haya mambo ya humu hayapo😄Hahahaa. Rafiki hao wa hivyo wengi kiuhalisia unakuta ndo wahongaji wakubwa.
Tena huo umri ndo pendwa kwake.