Extrovert hivi tuwe tu wakweli mnavyo nanga akina sisi kwani nyie mnahela ambayo inamzidi babalevo ukiacha mwijaku mtu wakunisuta nikajutia maisha ni hao machawa atleast wanavipesa vya kuhongwa nawasani sio nyie mnapumulia gesi .
Nyumba uliyoijenga wewe inagharimu sh. Ngapi, kingine gari yako yakutembelea inagharibu sh. Ngapi yaani itanisumbua roho au watoto wako wanasoma shule ghali ya gani .
umewahi mnunulia mtoto wako gari maana aunt ezekieli anamemzawadia mtoto wake.mdogo gari .
Kuchelewa kuolewa sio nuksi but wanakutana na vilaza mwanaume anataka uparticipate kulea kitu alichokileta duniani.
Na hamjui kutunza familia unatunziwa familia how kwa kidogo mtu anapata ampe hadi.mwanaume ??
Ukijenga anakuja dai kuwa amekuoa nyumba muuze akale na malaya.
Hajui kuwa ulisotaje.kujenga nyumba na pia hata watoto wake hajali wataiishi wapi nyumba ikiuzwa . Hana muda nao wala hajui watoto wanakula nini .
Hivi mnadhani mtu tu aende kwa machizi kama hayoo . Maburee kabisa . LOH HAPANA . Ukiwa single ni bora kuliko mtu akuoe ukamtunze na watoto wake