Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Sad truth:

Men age like fine wines [emoji485] but bichez age like milk.

Dada angu akitokea boya mmoja anataka kukuoa usilete mapozi sijui unataka kula ujana, olewa ujana utaula ndoani.

Unatakiwa kujua, kwa mwenendo wa dunia ulivyo sasa, idadi ya wanaume wanaooa inaanza kupungua, kuoa imekua kama mzigo, hata hapa jf hii movement ya kataa ndoa imeanza juzi juzi tu(alarm igonge kichwani mwako binti)

Usiwasikilize mastaa sijui ma infuluensa utaishia kujuta maisha yako yote ukiwa peke yako in your 30s or 40s baridi inakupiga hupati hata msaada, katoto kamoja ulikozaa kwa kuwaiga mastaa wa insta unakuta hakana nyuma wala mbele kameamua kuwa ka shoga tu coz ya malezi.

Olewa leo hata kama mwanaume ni mshamba mvaa mashati ya kitenge, utambadilisha tu(naturally mwanamke ana power ya kumbadilisha mwanaume)

Chukueni hiyo nyie mademu wa humu
Sasa Ushoga umeingiaje hapa? Mbona ni nje ya mada?
 
Mi sijui wanawake hua wana akili gani?

Kuna mmoja hapa alizalishwa na jamaa, baadae jama akampiga chini. Demu kahangaika na mtoto wake weee miaka kama minne akiwa singo maza.

Baadae sijui kilitokea nini akaamua kurudi tena kwa yule mwamba aliemzalisha. Mwamba kamtia mimba nyingine, demu kujifungua tu jamaa kampiga chini tena..!

Saivi demu hali yake ni mbaya kuliko ilivyokua mwanzo na watoto wawili juu.
Kupenda huko jamani. Usicheze na mapendo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Extrovert hivi tuwe tu wakweli mnavyo nanga akina sisi kwani nyie mnahela ambayo inamzidi babalevo ukiacha mwijaku mtu wakunisuta nikajutia maisha ni hao machawa atleast wanavipesa vya kuhongwa nawasani sio nyie mnapumulia gesi .

Nyumba uliyoijenga wewe inagharimu sh. Ngapi, kingine gari yako yakutembelea inagharibu sh. Ngapi yaani itanisumbua roho au watoto wako wanasoma shule ghali ya gani .

umewahi mnunulia mtoto wako gari maana aunt ezekieli anamemzawadia mtoto wake.mdogo gari .

Kuchelewa kuolewa sio nuksi but wanakutana na vilaza mwanaume anataka uparticipate kulea kitu alichokileta duniani.

Na hamjui kutunza familia unatunziwa familia how kwa kidogo mtu anapata ampe hadi.mwanaume ??

Ukijenga anakuja dai kuwa amekuoa nyumba muuze akale na malaya.

Hajui kuwa ulisotaje.kujenga nyumba na pia hata watoto wake hajali wataiishi wapi nyumba ikiuzwa . Hana muda nao wala hajui watoto wanakula nini .

Hivi mnadhani mtu tu aende kwa machizi kama hayoo . Maburee kabisa . LOH HAPANA . Ukiwa single ni bora kuliko mtu akuoe ukamtunze na watoto wake
Huyo Anti mwenyewe pale analea kibenten, kaamua kutafuta kiben ten kimzalishe basi apate watoto maana umri umeshaenda,lakini pale hamna baba mtunzaji na mleaji wa familia. Kama Vera Sidika kwa Brown Mauzo,Wema kwa Wozu,utakuta wamehangaika kutafuta ndoa wakaamua tu kutafuta vijana wa kuzaa nao.
 
Huyo Anti mwenyewe pale analea kibenten, kaamua kutafuta kiben ten kimzalishe basi apate watoto maana umri umeshaenda,lakini pale hamna baba mtunzaji na mleaji wa familia. Kama Vera Sidika kwa Brown Mauzo,Wema kwa Wozu,utakuta wamehangaika kutafuta ndoa wakaamua tu kutafuta vijana wa kuzaa nao.
Eh makubwa linuksi kubwa unaniwekea ushindwe
 
Sasa Ushoga umeingiaje hapa? Mbona ni nje ya mada?
Mi mwenyewe nashangaa aseee!!!

Ila trump mwaka huu kawashika pumbu nyie mashoga kmmmk
Screenshot_20250202-205621_X.jpg
 
Extrovert hivi tuwe tu wakweli mnavyo nanga akina sisi kwani nyie mnahela ambayo inamzidi babalevo ukiacha mwijaku mtu wakunisuta nikajutia maisha ni hao machawa atleast wanavipesa vya kuhongwa nawasani sio nyie mnapumulia gesi .

Nyumba uliyoijenga wewe inagharimu sh. Ngapi, kingine gari yako yakutembelea inagharibu sh. Ngapi yaani itanisumbua roho au watoto wako wanasoma shule ghali ya gani .

umewahi mnunulia mtoto wako gari maana aunt ezekieli anamemzawadia mtoto wake.mdogo gari .

Kuchelewa kuolewa sio nuksi but wanakutana na vilaza mwanaume anataka uparticipate kulea kitu alichokileta duniani.

Na hamjui kutunza familia unatunziwa familia how kwa kidogo mtu anapata ampe hadi.mwanaume ??

Ukijenga anakuja dai kuwa amekuoa nyumba muuze akale na malaya.

Hajui kuwa ulisotaje.kujenga nyumba na pia hata watoto wake hajali wataiishi wapi nyumba ikiuzwa . Hana muda nao wala hajui watoto wanakula nini .

Hivi mnadhani mtu tu aende kwa machizi kama hayoo . Maburee kabisa . LOH HAPANA . Ukiwa single ni bora kuliko mtu akuoe ukamtunze na watoto wake
Kuolewa au kuoa ni moja ya achievement kwa binadamu. Kuna sherehe 3 kuu, kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa.

Mungu akikujalia uhai na uzima basi ni vyema ukaolewa tu. Hayo mambo ya majumba na magari ya kifahari ni mambo ya mapokeo tu. Kikubwa wote ukifika mda wa kulala mtalalia godoro na muda wa njaa mtakula chakula vivyo hivyo hata kwenda kujisaidia pia. Kila mtu haja yake hutokea makalioni.😄

Hizi mbwembwe zingine za dunia zisikutoe kwenye focus. Gari ni lile lile, hata likiwa Maybach au IST wote mtapanda na litawafikisha mnapoenda. Nyumba ni zile zile tu, zitapangwa tofali na mbao na mabati. Atakayejenga ya million 300 na ya million 70 wote hawatanyeshewa na mvua. Wataangalia Azam tv wao na watoto wao kwenye makochi.

Nothing makes a difference in life but only death.
 
Eh makubwa linuksi kubwa unaniwekea ushindwe
Sikuwekei nuksi bali hiyo ndio trend, inavyo kuwaga Madam Rita kuna kipindi akawa analalamika wanaume wana muogopa, huku nyuma akawa na kazi ya kumtunza Kiba na Hemed Phd, Uwoya na Dogo Janja,Kala ,Linex,Mlela nk,then Kajala na Quick Racka baadae akamwachia Konde,Nicole na Mocco Ginius,Shilole na Nuu,Uchebe na wengineo idadi nimeisahau.Hao unao wajua, sasa usio wajua kuna wenzenu pamoja na fedha na elimu zao,wanalea bodaboda tena hii category ndio mpo wengi.

Unawaona hawa maslay Queens wanao anika matako (Sanchoka,Tuerny,Posh nk) mitandaoni na kuwauzia vibopa,baadae watatafuta viben ten,maana kuna kipindi watapwiyanga watachoka ,wataamua kukaa chini kutafuta wa kutulia nae, wale wa maana ambao waume wema hawato wapata sababu ya matukio yao ya nyuma huko Social networks na ndipo wanapo hamia kwa vibenten na Vibenten havina hiyana.
 
Kuolewa au kuoa ni moja ya achievement kwa binadamu. Kuna sherehe 3 kuu, kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa.

Mungu akikujalia uhai na uzima basi ni vyema ukaolewa tu. Hayo mambo ya majumba na magari ya kifahari ni mambo ya mapokeo tu. Kikubwa wote ukifika mda wa kulala mtalalia godoro na muda wa njaa mtakula chakula vivyo hivyo hata kwenda kujisaidia pia. Kila mtu haja yake hutokea makalioni.😄

Hizi mbwembwe zingine za dunia zisikutoe kwenye focus. Gari ni lile lile, hata likiwa Maybach au IST wote mtapanda na litawafikisha mnapoenda. Nyumba ni zile zile tu, zitapangwa tofali na mbao na mabati. Atakayejenga ya million 300 na ya million 70 wote hawatanyeshewa na mvua. Wataangalia Azam tv wao na watoto wao kwenye makochi.
Hujanielewa kutunza mwanaume ukiolewa ukamtunza mwanaume huu ni upuuzi mwanaume lazima akutunze wewe lazima umpe legacy yake so kama huna uzao basi utapata tu ila kumtunza mwanaume hapana aisee .
NAmpo wengi mnaoa kisa pesa
 
Back
Top Bottom