Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.

Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.

Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.

Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.

Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??

Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??

Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Unaweza kupunguza sauti ndugu?
Maana Trump kakata mirija huko sasa ili watu watembelee walau chork ni vyema sauti ikawa chini ,nisamehe mkuu!
 
Hapa ndio napopenda mie, wanawake ujanja wote mwisho 28.
Akishagusa 29 anaanza kupanjc. Yupo mmoja hapa ni 29 anajua nina ngoma lakini anasema wee mzabzab nioe tuu
Hivi Mtani wangu hii ngoma unayoisemaga ni kweli hivi? 🤔

Ndo umuoe kwani shida iko wapi sa.
 
Kuna mdogo wangu anapondea sana wanawake kuja kumchunguza vizuri kumbe kuna mwanamke mmoja kamteka na anampelekesha vibaya sana, dogo alikua na duka la vifaa vya ujenzi limejaa, kalihonga mpaka limebaki kama mbavu za mbwa.

Ila ukimkuta kwenye vijiwe vya kahawa anavyopondea wanawake hautaamini ukijua maisha yake.
Wa aina hii baadhi yao wanapatikana hata humu pia Mkuu yaani wanachokiandika na uhalisia hata haviendani.
 
Back
Top Bottom