Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wakiwa early 20s huwa wana maneno machafu na dharau kibao. Wakiacha kuchacha sasa kama Maharage ya juzi, yaaani full usumbufu na kutia tia huruma kmmae zao
hili limetoka rohoni kabisa πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
ila hawa kenge kwa kweli wanatujibugi maneno ya hovyo sana wakati wapo prime wacha na sie tuwarudishie maneno mbofu mbofu kenge kabisa hawa
 
Punguza ghadhabu, alokukosa ni nani tumjaribu kumsemeza?
 
Haki huu Uzi umefanya nicheke mpk naonekana kituko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Basi mkuu wamekuskia na kukuelewa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…