Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Hii tabia imekuwa kero sana hasa kwa wanawake walioolewa yaani ukimkuta nyumbani unashindwa kutofautisha mama mwenye nyumba ni yupi na house girl ni yupi.
Yaani wote wanavaa nguo kama vibarua fulani hivi waliochoka na maisha, utakuta wife mara kavaa yeboyebo hata sio saizi yake, mara kandambili tofauti mara kavaa msweta wa ajabu ajabu!
Tunaomba vile mnavyovutia mkiwa barabarani basi wavutieni waume zenu huko majumbani kwenu!
Maana wanaume waliooa wanaogopa sana kuwapeleka marafiki zao nyumbani maana unaweza kumkuta wife alivyo shagalabagala hadi ukaona aibu ya mwaka.
Yaani wote wanavaa nguo kama vibarua fulani hivi waliochoka na maisha, utakuta wife mara kavaa yeboyebo hata sio saizi yake, mara kandambili tofauti mara kavaa msweta wa ajabu ajabu!
Tunaomba vile mnavyovutia mkiwa barabarani basi wavutieni waume zenu huko majumbani kwenu!
Maana wanaume waliooa wanaogopa sana kuwapeleka marafiki zao nyumbani maana unaweza kumkuta wife alivyo shagalabagala hadi ukaona aibu ya mwaka.