Wanawake mlioolewa badilikeni

Wanawake mlioolewa badilikeni

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Hii tabia imekuwa kero sana hasa kwa wanawake walioolewa yaani ukimkuta nyumbani unashindwa kutofautisha mama mwenye nyumba ni yupi na house girl ni yupi.

Yaani wote wanavaa nguo kama vibarua fulani hivi waliochoka na maisha, utakuta wife mara kavaa yeboyebo hata sio saizi yake, mara kandambili tofauti mara kavaa msweta wa ajabu ajabu!

Tunaomba vile mnavyovutia mkiwa barabarani basi wavutieni waume zenu huko majumbani kwenu!

Maana wanaume waliooa wanaogopa sana kuwapeleka marafiki zao nyumbani maana unaweza kumkuta wife alivyo shagalabagala hadi ukaona aibu ya mwaka.
 
Walishaamua Kama mbwai iwe mbwai..😂
 
Hii tabia imekuwa kero sana hasa kwa wanawake walioolewa yaani ukimkuta nyumbani unashindwa kutofautisha mama mwenye nyumba ni yupi na house girl ni yupi.

Yaani wote wanavaa nguo kama vibarua fulani hivi waliochoka na maisha, utakuta wife mara kavaa yeboyebo hata sio saizi yake, mara kandambili tofauti mara kavaa msweta wa ajabu ajabu!

Tunaomba vile mnavyovutia mkiwa barabarani basi wavutieni waume zenu huko majumbani kwenu!

Maana wanaume waliooa wanaogopa sana kuwapeleka marafiki zao nyumbani maana unaweza kumkuta wife alivyo shagalabagala hadi ukaona aibu ya mwaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Tukiamkia kuoga na kupaka mapouda mnatuona slay kwini.
Ila wanaume mna matatizo[emoji23][emoji23]. Mkirudi mkikuta tumeulamba mnaanza kununa huku mnauliza "ulikuwa wapi, mbona umevaa hivi".
 
Kaoe mdigo anapika tu anavaa dera la gharama mikono imechorwa maua
 
Tukiamkia kuoga na kupaka mapouda mnatuona slay kwini.
Ila wanaume mna matatizo[emoji23][emoji23]. Mkirudi mkikuta tumeulamba mnaanza kununa huku mnauliza "ulikuwa wapi, mbona umevaa hivi".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom