Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au akampigie punyetoWammendee
🤣🤣🤣Au akampigie punyeto
tena ukute analo lile la kubiringika sasa, hata avae dera, bado unaona linavojibingirisha kwenye dera.Ishu si ni tako tu bro?
Kama lipo inatosha.
HahahaHii tabia imekuwa kero sana hasa kwa wanawake walioolewa yaani ukimkuta nyumbani unashindwa kutofautisha mama mwenye nyumba ni yupi na house girl ni yupi.
Yaani wote wanavaa nguo kama vibarua fulani hivi waliochoka na maisha, utakuta wife mara kavaa yeboyebo hata sio saizi yake, mara kandambili tofauti mara kavaa msweta wa ajabu ajabu!
Tunaomba vile mnavyovutia mkiwa barabarani basi wavutieni waume zenu huko majumbani kwenu!
Maana wanaume waliooa wanaogopa sana kuwapeleka marafiki zao nyumbani maana unaweza kumkuta wife alivyo shagalabagala hadi ukaona aibu ya mwaka.