Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Dada zangu mlioolewa (hasa wenye kipato endelevu) ambao mpo kwenye umri kati ya miaka 25 na 40 naomba niwaambie hili jambo na msilisahau.
Hii tabia ya kuamua kwenda kuomba talaka au kuamua kuachana na waume zenu kwasababu tu mnacho kipato inawatesa sana baada ya muda.
Nimeumia sana kuona wanawake wengi wenye vipato vizuri wakiishia kuteseka na watoto huku wakihangaika kulazimisha wanaume wengine wachukue nafasi za waume wao.
Dada, ukishaanza kuishi na mume basi tambua maisha yako hayatakuja kuwa vile yalikuwa before. Siku zote utahitaji sauti ya mwanaume na hiyo itakufanya uangukie kwa wengi.
Kwanini usijishushe ukatengeneza ndoa yako na mumeo?
Hii tabia ya kuamua kwenda kuomba talaka au kuamua kuachana na waume zenu kwasababu tu mnacho kipato inawatesa sana baada ya muda.
Nimeumia sana kuona wanawake wengi wenye vipato vizuri wakiishia kuteseka na watoto huku wakihangaika kulazimisha wanaume wengine wachukue nafasi za waume wao.
Dada, ukishaanza kuishi na mume basi tambua maisha yako hayatakuja kuwa vile yalikuwa before. Siku zote utahitaji sauti ya mwanaume na hiyo itakufanya uangukie kwa wengi.
Kwanini usijishushe ukatengeneza ndoa yako na mumeo?