Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Ni utandandawazi limeonekana lazima lisemwe hatuogopi kutwekwa na majikwale
 
Tatizo umebase kwenye negative peke yake, yamkin watu hawafanani,
...

Utakuja kuoneshwa upendo wa kweli ukaona FAKE , ile kwako
 
Hata wa mikoani nao ni humohumo wamecopy na kupest za dar
 
Tabia kama hizi za wanawake wa dar kutoheshimu wanaume ndiyo zinasababisha muendelee kuwa viwanda vya watoto bila ndoa..
Nyiee JamAa punguzen bana hawaa watuu hawapendagii kuambiwaa ukweliiii ndio nature yao ndio maan! Wanafume sanaa
 
ILA WANASAIDIA UKIWA NA 5000 UNAPIGA KIMOJA CHA FASTA UNATEMBEA ZAKO HAINA KUGANDANA
 
Hao wasio penda kujiswafi baada ya mechi ni shida sana kama kweli wapo.
 
Back
Top Bottom