Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Ndy maana nguvu za kiume zimepunguwa
4ea812f709ea723608d85ea0bb48cb0c.jpg
 
Magentlewomen wangu wote sijawaona kuchangia hapa aisee.nadhani haiwahusu au bado wanatafakari.
 
Hii vita ya mkorea na mmarekani acha nipite kushoto niangalie mpambano, wamikoani vs wa Dar
 
Kwa kifupi mleta maada yuko sahihi ingawa si wa Dar sehemu kubwa wanawake wengi nchini kilichoharibu uasilia wao ni hizo dawa za uzazi wa mpango hata upoloto wako hivyo
Asilimia kubwa wanapatikana Daressalaam
 
Weekend imefka ukiangalia mfukon huna hata mia unatafuta sababu usiombwe hela ya fiesta! Kua mkwel tu
 
Back
Top Bottom