Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Magentlewomen wangu wote sijawaona kuchangia hapa aisee.nadhani haiwahusu au bado wanatafakari.
 
Hii vita ya mkorea na mmarekani acha nipite kushoto niangalie mpambano, wamikoani vs wa Dar
 
Kwa kifupi mleta maada yuko sahihi ingawa si wa Dar sehemu kubwa wanawake wengi nchini kilichoharibu uasilia wao ni hizo dawa za uzazi wa mpango hata upoloto wako hivyo
Asilimia kubwa wanapatikana Daressalaam
 
Weekend imefka ukiangalia mfukon huna hata mia unatafuta sababu usiombwe hela ya fiesta! Kua mkwel tu
 
Kwani tukiishia kuitwa single mum wewe kinachokuuma nini au Unapungukiwa nini??

Au unaona donge tunavopigwa mikuyenge unataka upigwe wewe na mimba ubebe wewe !!
Punguzaa hasiraa!!! Haina haja ya kutukana! Ping kwa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…