Au ulikuwa ni wewe nn?Uugwana ni kumwambia ‘dada nywele yako haiko sawa!
Ila hizi drama zako [emoji4] emu ngoja tuseme labda ulimsalimia akakuvungia.
Me sina hata account huko kwenye banks! sasa foleni za ATM nahusika nazo vipi??Au ulikuwa ni wewe nn?
Mkumbushe pia kuwa uko na short hair na unaoga kila siku kuanzia kichwani tafadhali..!Me sina hata account huko kwenye banks! sasa foleni za ATM nahusika nazo vipi??
Na pale njiro crdb ATM nilipokuona unatoa pesa zilikuwa za mama auMe sina hata account huko kwenye banks! sasa foleni za ATM nahusika nazo vipi??
Atataka na picha 😅😅 si unajua akili za humu ndani..Mkumbushe pia kuwa uko na short hair na unaoga kila siku kuanzia kichwani tafadhali..!
Ni mimi ndiyo… au niendelee kukutukana na hapa?Nimemwambia naona nimeishia kutukanwa! 😞 Au ni wewe nini?
DJ walete wadada na amapiano
WaaambieeeeeMbna huyo ni mtu mmoja! Sema id 2 tofauti!