Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah..haya bn,wacha tujikite Kent mada,wewe carleen unavaa wigi?Mimi nimeongea naye mambo tofauti hata sikukutag, ukajishtukia zako huko ukaja ndukii..
Nami sikukuacha salama.!!
Hahahaha... Umesahahu kumwambia tafuta hela...Uugwana ni kumwambia ‘dada nywele yako haiko sawa!
Ila hizi drama zako 😊 emu ngoja tuseme labda ulimsalimia akakuvungia.
Alikuwa bank 🤣😂 itakuwa ameenda kukomba kasalariHahahaha... Umesahahu kumwambia tafuta hela...
Hapana, usiendelee kausha...Ni mimi ndiyo… au niendelee kukutukana na hapa?
Naona Depal umekuja kucomment kwenye parody lakoPole yao sana, ngoja uje upewe muongozo wa kutafuta hela...
Hapana muheshimiwa hakimu,Dah..haya bn,wacha tujikite Kent mada,wewe carleen unavaa wigi?
Sawa Shahidi wa jamhuriHapana muheshimiwa hakimu,
Hata siku ya tukio sikuwepo eneo hilo kabisa..!!
Na tulivyo yaegesha!! Yakiwaporomokea wakatafute pakulilia 😂Mambo yetu tuachiwe wenyewe, yasiumize kichwa wengine...
Hahahaha... Tulia... twende kwenye mada...Na tulivyo yaegesha!! Yakiwaporomokea wakatafute pakulilia 😂
😅😅😅 tatizo joto.. mtusamehe!Hahahaha... Tulia... twende kwenye mada...
Inayohusu kuvaa mawigi yanaoyonukia siyo vizuri...
Siyo kwamba ni uvivu au?😅😅😅 tatizo joto.. mtusamehe!