Wanawake mmezidi mawigi yananuka kweli!

Wanawake mmezidi mawigi yananuka kweli!

Chuchu zinachachuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shoo emu njoo ucheke Lenie
Doooh naona wametuamuliaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Amesahau bra nyeusiπŸ˜‚πŸ˜‚
 
🀣🀣 halafu wana kale katabia anapikicha na kidole halafu ana nusaa ku test mzigo, au wale fungus sijui chawa/bacteria wakimuwasha unaona akipiga bichwa, paaa.. paaa,then anakausha kama sio yeye, yale ni mateso..
Depal
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwani lazima hayo madude. Hivi ukiweka kipilipili chako safi kama Nancy Sumari, unapungukiwa nini? Kila mtu anajua kuwa Waafrika tuna nywele fupi? Nani unajaribu kum-fool?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nawafool wasionijua kama nina kipilipili
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nawafool wasionijua kama nina kipilipili
Unaji-fool mwenyewe. Nione mweusi mwenzangu ana nywele zilizonyooka hadi mgongoni halafu niamini kuwa ni zake halisi? Wigi ni alama ya kutokujiamini. Ni sawa na wenye mvi wanaoweka die. Ni kutokujiamini pia.
 
Unaji-fool mwenyewe. Nione mweusi mwenzangu ana nywele zilizonyooka hadi mgongoni halafu niamini. Wigi ni alama ya kutokujiamini. Ni sawa na wenye mvi wanaoweka die. Ni kutokujiamini pia.
Sawa..
Wacha tuji-fool β€˜ tuji- enjoy wenyewe…
 
Back
Top Bottom