WAKOLOSAI 3:18-19.Unakutana na mtu ww tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.
Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.
Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.[emoji119]
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
Ni sigara gani hizo unazovuta wewe ambazo anytime unapumua harufuUkiwa mvutaji mzuri harufu kila ukipumua.
Hivi unajua nimeimiss sauti yako... Em fanya wepesi PM! nimepoteza number yako..Shida tupu yaan
Sawa mkuu,soonHivi unajua nimeimiss sauti yako... Em fanya wepesi PM! nimepoteza number yako..
Sasa mimi navuta ndio maana nakueleza,sigara ni starehe yangu mimi,lazima nihakikishe haiwezi kumkera mwenzi wangu...hakuna sigara itakayonuka zaidi ya 30mint baada ya kuvutwa...Me sivuti mkuu.