Wanawake mna moyo sana, mnawezaje?

Wanawake mna moyo sana, mnawezaje?

Kwamba ww hujui madhaifu ya wanawake?

Ww unajua wanaume wanavumilia mangapi kutoka kwa wanawake wao?

Mtoa mada utakua ni kijana mdogo sana, umekurupuka kuandika pumba bila kuwa na experience ya maisha ya ndoa

Ushawahi kutana na mwanamke mwenye mdomo ww? wazee wa zamani wenye hekima walikuwa wakitoka kazini hawarudi nyumbani muda huo, wanapitia sehemu bar kupata kinywaji kwanza muda uende ili aepukane na hiyo kero ya mke wake

Ww unajua jinsi gani wanawake wa ovyo hutumia muda wao mwingi kwa waganga ili kuwadidimiza na kuwakamata kichawi wanaume zao?
Lakini wanaume wanalijua hilo na wanavumilia

Ww ushawahi kutana na harufu ya papa? Ngoma inatema mzoga ukasome lakini mwanaume anavumilia maisha yanaenda

Acha kukurupuka kaka, maisha hayapo hivo kila mtu anapitia magumu kwa namna yake, usitukandamize wanaume kwa kutafuta huruma ya wanawake wa hapa JF
 
usitukandamize wanaume kwa kutafuta huruma ya wanawake wa hapa JF
Nikandamize ili nipate nini mkuu humu JF?
Wapi nimesema wanaume wote tuna changamoto kama hizo hapo juu? Mpaka uone nakandamiza?

Nimesema yale tu yakawaida ambayo hata sisi wenzio wa nje ni changamoto.
 
Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.

Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.🙌
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
1668959873278.png


Ndiyo hao
 
Hio ipo pande zote. Kama wanavyoishi na wanawake wakorofi, wababe, wagomvi, single mothers, wenye hasira, wenye makelele ndivyo ilivyo
 
Nikandamize ili nipate nini mkuu humu JF?
Wapi nimesema wanaume wote tuna changamoto kama hizo hapo juu? Mpaka uone nakandamiza?

Nimesema yale tu yakawaida ambayo hata sisi wenzio wa nje ni changamoto.
Hizi agenda za kuwatetea wanawake inabidi ifike mahala ziishe.

Hawa viumbe ni hatari sana, ukibahatika kuishi nao utaelewa naongea nini mkuu wana mabalaa sio mchezo, wanaume tunalishwa vitu vya ajabu sana, mwanamke anataka akuue amiliki mali.

Siku ukibahatika kupata mke utakuja na fake ID kuutukana huu uzi wako, wanaume tunakufa na tai zetu shingoni hatuna wakumuambia tutaonekana dhaifu, na ndio maana tunakufa mapema kuliko hao wenzetu.

Tunawafumania wanawake zetu mara nyingi sana tunaumia sana lakini tunajipa imani iko siku yataiisha, unajizima data kumsamehe for the sake of children na upendo ulionao kwake.

Ila yeye sasa akufumanie watajua wazazi wako na wake, watoto, majirani na mashosti zake.

Au naongeaa uongo wakuu?
 
Hizi agenda za kuwatetea wanawake inabidi ifike mahala ziishe.

Hawa viumbe ni hatari sana, ukibahatika kuishi nao utaelewa naongea nini mkuu wana mabalaa sio mchezo, wanaume tunalishwa vitu vya ajabu sana, mwanamke anataka akuue amiliki mali.

Siku ukibahatika kupata mke utakuja na fake ID kuutukana huu uzi wako, wanaume tunakufa na tai zetu shingoni hatuna wakumuambia tutaonekana dhaifu, na ndio maana tunakufa mapema kuliko hao wenzetu.

Tunawafumania wanawake zetu mara nyingi sana tunaumia sana lakini tunajipa imani iko siku yataiisha, unajizima data kumsamehe for the sake of children na upendo ulionao kwake.

Ila yeye sasa akufumanie watajua wazazi wako na wake, watoto, majirani na mashosti zake.

Au naongeaa uongo wakuu?
Pole sana mkuu inaonekana yamekusibu pia.
 
Baadhi ya wanawake wanapenda walau mwanaume awe na katabia kama hako kamojawapo!!.

Sio wewe ukitoka kazini tu upo nyumbani chap kama nyau, umerudi saa tisa hutoki mpaka kesho unaenda kazini.
Humpi hata kamda ka kusemezana na mashosti zake, kila muda upo nae.

Sio wanawavumilia wengine wanaona ndo uanaume huo, care zikizidi wanaota mapembe hao.
 
Hili la sigara na ulevi kuna wanawake wanavumilia mengi asee
Harufu ya hizi sigara na pombe za bei poa siyo yakawaida kabisaa
 
Back
Top Bottom