Wanawake mna roho mbaya kama nini, ah!

Wanawake mna roho mbaya kama nini, ah!

hapo sasa, yani ujinga wa huyo mzee utuhumu wanawake wote!!! mjini shule shamba kilimo!! mwambie arudi kijijini akalime....
Hapo umenena shosti, unakuta wababa wazima kujiheshimu hawataki kabisaa, then wakinogewa na kuziba masikio mnawalaumu wanawake. Kwani waliwaita?
 
Ufuska wa huyo mzee wako ndio unasema wanawake wana roho mbaya? Nawaambia hivi, mtakufa mpaka mtakapoacha upumbavu. Hata wewe unayeaona mjombaako kaonewa nawe ni mjinga pia.

Hivi ukitoka ndani mwako na kwenda kucheza ngoma katikati ya barabara magari yakakukanyaga utasema umeonewa?
 
Na hao ndugu waliojipendekeza kwa nyumba ndogo nao wajinga vilevile.

ha ha platozoom huna nyumba ndogo eee?
Mi naijua nyumba ndogo moja anaishi na wadogo wa bwanake mwaka wa 5 sasa.
Aaaa lazima ashirikishe ndugu kuna kipindi cha kubanwa inabidi wao ndo waokoe jahazi.
Kwani nyumba ndogo hana haki ya kuwa na mashemeji na mawifi??
Hapo mjinga mwanaume tuu
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wana roho mbaya sana
Cha msingi uyo mzee ni wa kufanyiwa maombi tuu mambo yatanyoka!

Kwa nini mzigo wa lawama za huyo mzee kilaza mnawatwisha wanawake? Msituchoshe.
 
Na hao ndugu waliojipendekeza kwa nyumba ndogo nao wajinga vilevile.

ha ha platozoom huna nyumba ndogo eee?
Mi naijua nyumba ndogo moja anaishi na wadogo wa bwanake mwaka wa 5 sasa.
Aaaa lazima ashirikishe ndugu kuna kipindi cha kubanwa inabidi wao ndo waokoe jahazi.
Kwani nyumba ndogo hana haki ya kuwa na mashemeji na mawifi??
Hapo mjinga mwanaume tuu
 
Last edited by a moderator:
ha ha platozoom huna nyumba ndogo eee?
Mi naijua nyumba ndogo moja anaishi na wadogo wa bwanake mwaka wa 5 sasa.
Aaaa lazima ashirikishe ndugu kuna kipindi cha kubanwa inabidi wao ndo waokoe jahazi.
Kwani nyumba ndogo hana haki ya kuwa na mashemeji na mawifi??
Hapo mjinga mwanaume tuu
Dah,huyo ni mke wa pili kabisa kama anaishi na ndugu wa mme,na mke mkubwa anajua?Duniaa hii jamani
 
Unajua wajerumani ni wakatiri sana hawapendi waonekane makatiri the same to women
 
Huyo mzee hana akili
kabisa. Nachukia mtu anaekubali familia yake ivurugike kisa nyumba
ndogo! Ameyataka mwenyewe, acha aicheze ngoma.

we sweetlady,jamani duniani kuna mijanamike mishirikina hiyo! usikute mzee wa watu keshalishwa minyama ya ajabu ajabu mpaka hajielewi! cha msingi ni kumkomboa na si kumzodoa jamani!
 
Last edited by a moderator:
Dah,huyo ni mke wa pili kabisa kama anaishi na ndugu wa mme,na mke mkubwa anajua?Duniaa hii jamani

mke ndo mkorofi hataki ushirikiano na mwenzake ye mke mkubwa kila siku tanga na bagamoyo kuroga wakat nyumba ndogo hana hata habari.
Inshort nyumba anatabia nzuri na mzuriii kamfunika mke.
Ndo maana mashemeji hawataki kukaa kwa mke wanakaa kwa hawara.
Cha ajabu sasa mume huu mwaka wa 6 unaingia hataki kumuoa na muislam.
Mapenzi haya na anamhudumia kama mkewe nguo sare,simu sare anafairplay.
Swali kwa nini hataki kumuoa???
 
ha ha platozoom huna nyumba ndogo eee?
Mi naijua nyumba ndogo moja anaishi na wadogo wa bwanake mwaka wa 5 sasa.
Aaaa lazima ashirikishe ndugu kuna kipindi cha kubanwa inabidi wao ndo waokoe jahazi.
Kwani nyumba ndogo hana haki ya kuwa na mashemeji na mawifi??
Hapo mjinga mwanaume tuu

Mimi badobado nipo yangu macho............!
Kama nyumba ndogo anaweza kuthubutu kuwavuta ndugu wa buzi basi hiyo sio familia tena.
Mimi mwenyewe najua kaka yangu anachakachua lakini hata sijawahi kuona sura ya nnyumba ndogo yake
hata hint ya jina hakuna.

Nyumba haina haki ni haramu basi tu huwa kuna kuteleza
 
Mimi badobado nipo yangu macho............!
Kama nyumba ndogo anaweza kuthubutu kuwavuta ndugu wa buzi basi hiyo sio familia tena.
Mimi mwenyewe najua kaka yangu anachakachua lakini hata sijawahi kuona sura ya nnyumba ndogo yake
hata hint ya jina hakuna.

Nyumba haina haki ni haramu basi tu huwa kuna kuteleza

platozoom huyo kakako yeye ana hawara tu hajapata nyumba ndogo we mwenyewe utakuwa unaenda kusalimia au unampigia simu''shem niwekee msosi nakuja''.
Tena utamshauri kakayo asimuache na ukiona wanagombana utakuwa mstari wa mbele kunung'unika
 
Last edited by a moderator:
Duh! Asijaribu kustaafu aisee. Kama mnaamini katika maombi na mko Dar nipm nikupe link ya mtumishi wakuwaombea hadi huyo mwizi wa mume wa mtu afunge virago. Kwa Mungu yote yanawezekana!


Halafu kanamshawishi mzee aombe kustaafu apewe pension yake wafanye biashara za China wote.
 
platozoom huyo kakako yeye ana hawara tu hajapata nyumba ndogo we mwenyewe utakuwa unaenda kusalimia au unampigia simu''shem niwekee msosi nakuja''.
Tena utamshauri kakayo asimuache na ukiona wanagombana utakuwa mstari wa mbele kunung'unika

Wewe si unakaribia kumpeleka "Ticha" nyumbani na kujihalalishia kabisa.........Naona unawafagilia hao NN Ngoja wezi wa mji huu wakushughulikie na wewe ndipo utajua kwa nini vitunguu ni mboga!!.
 
dawa huwa zina mwisho jambo wengi wanakuwa wameshateseka familia ya huyu mzee izidishe maombi tajinasua tu kwenye hilo limbwata
 
Wewe si unakaribia kumpeleka "Ticha" nyumbani na kujihalalishia kabisa.........Naona unawafagilia hao NN Ngoja wezi wa mji huu wakushughulikie na wewe ndipo utajua kwa nini vitunguu ni mboga!!.

platozoom ticha ataanzaje???
Ujue mpaka kufikia mtu kuwa na nyumba ndogo 5 yrs ni mke umechangia?
We ticha ataanzaje anaujua mziki nahisi hata kama anaiba huko gesti anafanya fasta huku anawaza yule kichaa wangu akijua sijui itakuwaje.
Thubutu nitakung'uta mtu balaa na akinizidi nguvu nina mdogo wangu baunsa nampigia anakuja we atahama mkoa kwa msuto wa Zinduna na Gea Habib
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom